entry
JF-Expert Member
- Apr 11, 2018
- 248
- 464
Wakuu wazima, hivi unachukuliaje hili swala la mme au mke anamuaga mwenzie naenda dinner na rafiki yangu isitoshe ni jinsia tofauti. Nimeuliza baazi ya wanawake majibu yapo hivi.
1. Ke wa kwanza.
" Ni vizuri kwenda tu hii itamfanya imuume siku nyingine atanipeleka na yeye"
2. Ke wa pili
" Sio mbaya kutoka na rafiki yako"
Na majibu ya wanaume baazi
1. Me wa kwanza
" Utuzungu utawacost"
Je, wewe kwa mtazamo wako unalichukuliaje hili swala?
Karibuni
1. Ke wa kwanza.
" Ni vizuri kwenda tu hii itamfanya imuume siku nyingine atanipeleka na yeye"
2. Ke wa pili
" Sio mbaya kutoka na rafiki yako"
Na majibu ya wanaume baazi
1. Me wa kwanza
" Utuzungu utawacost"
Je, wewe kwa mtazamo wako unalichukuliaje hili swala?
Karibuni