Mkeo ameanzisha urafiki na Ex-boy friend wake wa kwanza

Hakuna tatizo,
kwani ex ni adui???
haupaswi kuongea naye hata maongeza ya kawaida,ikiwa wote bado mpo hai na mpo duniani?,
amejaribu kufuatilia na kugundua kuwa wanaongea mabaya???,

Apunguze kutojiamini, HUYO NI WAKE NA YEYE NDIYE MSHINDI huyo wa kwenye facebook alikuwa ni mshiriki mwenzake tu ktk mashindano ya mapenzi,madamu yeye kashinda basi atulie tuliii aufurahie tu ushindi wake, apunguze au aache wasiwasi wa mapenzi....
Eti eheeee!!!What a thinking
 
Mkuu hata wabishe vipi FACEBOOK inabikia kuwa mtandao ambao umevunja ndoa nyingi za watu.

Nimekuwa observer kwa hii thread, hakika nimeona michango yenu yenye haja. Lakini swali langu kwa hawa wanaodai facebook kuwa chanzo cha ndoa nyingi kuvunjika, kwanza je takwimu hizo zipo?.....tupeni, pili facebook yenyewe kama social networking, ina specialty ipi, kuliko zingine mambazo zilikuwepo na watu walifanya social networking kwa muda mrefu tu, mbona hayo hatukuyasikia. Bado sielewi vizuri hapa. Kuwepo kwa facebook, au kutokuwepo bado watu wameweza kuwasiliana tu, na kama nia ipo ya kumpata ex, hata kama angekuwa wapi still ungeweza kumpata. Na je, kwa mtazamo huo, ina maana wale exes ambao hawana hata account ya hiyo facebook, hawawezi kupata, au kuwasiliana. Naomba mnijuze waungwana.
 
nnunu;1880326]Hakuna tatizo, kwani ex ni adui??? haupaswi kuongea naye hata maongeza ya kawaida,ikiwa wote bado mpo hai na mpo duniani?, amejaribu kufuatilia na kugundua kuwa wanaongea mabaya???,

Apunguze kutojiamini, HUYO NI WAKE NA YEYE NDIYE MSHINDI huyo wa kwenye facebook alikuwa ni mshiriki mwenzake tu ktk mashindano ya mapenzi,madamu yeye kashinda basi atulie tuliii aufurahie tu ushindi wake, apunguze au aache wasiwasi wa mapenzi....



Ukubali ukatae ukweli utabakia, ukikuta mumeo anaendeleza mawasiliano na X-G wake roho itakuumua regardless wanawasiliana kwa yapi.Kama wachangiaje wengine hapo wanavyosema kuwa wapenzi huwa hawaachani mda na nafasi ikiruhusu ni kama kupasha kipolo, katika hari kama hii ndio maana wanandoa hawapendi wenzi wao waendelezi mawasiliano na X-wao ili ku-mitigate risk za kukumbushiana.
 
Halafu ukishaoa ya nini kufatilia sana mkeo?????mimi sijui hata nani yupo kwenye facebook yake,kama humwamini kwa nini ulichukua jumla?acheni mambo ya kizamani
 
daa halafu wanaume ni wabinafsi sana jamani loh.yaani wao wana urafiki na ma x zaidi ya hata 5 wewe amemkukuta tu umetumiana msg kwenye face book au ni rafiki yako inakua balaa ukija kuchunguza yeye,unakuta hata email ni za mapenzi au inbox ya face book yaani wewe ulikukua rafiki akaumia nakwmabia ikawa ugomvi mpaka unarudishwa kwenu kisa una urafiki na x wako na ameona msg ya face book wala si ya mapenzi jamani...tis is true happened kwenye ndoa yangu nilipokuja kuona za kwake za mapenzi nilidondoka..ama kweli wanaume wabinafsi..kosa kwa mwanamke mwanaume si kosa..yalaaaaa
 
Bora uendelee hivyo hivyo kutokujua kwani siku UKIJUA utazimia!

Na siku uatapomkuta mkeo anampa kiss ex wake ndo utajua kutofautisha mabo ya kizamani na ya kileo.

Halafu ukishaoa ya nini kufatilia sana mkeo?????mimi sijui hata nani yupo kwenye facebook yake,kama humwamini kwa nini ulichukua jumla?acheni mambo ya kizamani
 
Nyie ndo mnaoliwa wake zenu nyie. Endelea tu kumwamini 100%...tena ongeza imani yako kwake.

Nyani Ngabu mimi hao wote wanajiita wadhungu sijuhi mambo ya kizamani kufuatilia mwenza wako ana urafiki na nani wana kasoro. Hao wako katika chance kubwa ya kuwa cheated kwani inaonyesha ni jinsi gani wasivyojali. Unaweza kuta asilimia kubwa ni wale ambao muda mwingi wanakuwa na shughuli za kiofisi (workholic) na hivyo wanawapa wenza wao uhuru wa kupindukia.

Unaweza kuta mke wa mtu kila week end yuko club tena peke yake eti mumewe ana tabia za kizungu. Aka mume aso na wivu simtaki! Kama huna wivu maanake hujapenda full stop. Mimi lazima nijue mume wangu ka mu add nani kwenye face book na wana uhusiano gani. Ex hawana nafasi (at least ya wazi) kwenye maisha yetu!
 
Aka mume aso na wivu simtaki! Kama huna wivu maanake hujapenda full stop. Mimi lazima nijue mume wangu ka mu add nani kwenye face book na wana uhusiano gani. Ex hawana nafasi (at least ya wazi) kwenye maisha yetu!

I wish I could clone you!
 
Halafu ukishaoa ya nini kufatilia sana mkeo?????mimi sijui hata nani yupo kwenye facebook yake,kama humwamini kwa nini ulichukua jumla?acheni mambo ya kizamani
Kwishney, watu wanachakachua!!!!!!!!
Wengine siyo kwamba mnawaamini wake zenu au hamjali wanachofanya kwenye fb ila ni kuwa hamna ujasiri wa kuface the truth. Women are very vulnurable creatures so kuchukua jumla hakuzuii kitu.
 
Nimekuwa observer kwa hii thread, hakika nimeona michango yenu yenye haja. Lakini swali langu kwa hawa wanaodai facebook kuwa chanzo cha ndoa nyingi kuvunjika, kwanza je takwimu hizo zipo?.....tupeni, pili facebook yenyewe kama social networking, ina specialty ipi, kuliko zingine mambazo zilikuwepo na watu walifanya social networking kwa muda mrefu tu, mbona hayo hatukuyasikia. Bado sielewi vizuri hapa. Kuwepo kwa facebook, au kutokuwepo bado watu wameweza kuwasiliana tu, na kama nia ipo ya kumpata ex, hata kama angekuwa wapi still ungeweza kumpata. Na je, kwa mtazamo huo, ina maana wale exes ambao hawana hata account ya hiyo facebook, hawawezi kupata, au kuwasiliana. Naomba mnijuze waungwana.

06f912f8e51e29ba0b86daebeb7e1ddd.jpg


The number of divorces occurring because of Facebook and other social networking sites has been on the rise since these sites have become increasingly popular, research claims. These sites are being utilized more and more by unhappy individuals to seek out and have an affair and cheat on their partner.
Facebook is being cited in almost one in five of online divorce petitions, lawyers have claimed.
People will post just about anything on social networking sites. And the information can be used against them. David Randall and Victoria Richards report.
In the judicial backwater of a New Jersey federal court, a case is being heard that nominally affects two families but should also make millions of Britons think twice about something they do every day: put highly personal information on Facebook, MySpace or Bebo.
The social networking site, which connects old friends and allows users to make new ones online, is being blamed for an increasing number of marital breakdowns.
Divorce lawyers claim the explosion in the popularity of websites such as Facebook and Bebo is tempting to people to cheat on their partners. Suspicious spouses have also used the websites to find evidence of flirting and even affairs which have led to divorce.
One law firm, which specialises in divorce, claimed almost one in five petitions they processed cited Facebook.
Mark Keenan, Managing Director of Divorce-Online said: "I had heard from my staff that there were a lot of people saying they had found out things about their partners on Facebook and I decided to see how prevalent it was I was really surprised to see 20 per cent of all the petitions containing references to Facebook.
"The most common reason seemed to be people having inappropriate sexual chats with people they were not supposed to."
An American insurance company, in defending its refusal to pay out a claim, is seeking to call in evidence personal online postings, including the contents of any MySpace or Facebook pages the litigants may have, to see if their eating disorders might have "emotional causes". And the case is far from a lone one. Suddenly, those saucy pictures and intimate confessions on social networking sites can be taken down and used in evidence against you in ways never dreamed of.
Flirty emails and messages found on Facebook pages are increasingly being cited as evidence of unreasonable behaviour. Computer firms have even cashed in by developing software allowing suspicious spouses to electronically spy on someone's online activities.
One 35-year-old woman even discovered her husband was divorcing her via Facebook. Conference organiser Emma Brady was distraught to read that her marriage was over when he updated his status on the site to read: "Neil Brady has ended his marriage to Emma Brady."
Last year a 28-year-old woman ended her marriage after discovering her husband had been having a virtual affair with someone in cyberspace he had never met. Amy Taylor 28, split from David Pollard after discovering he was sleeping with an escort in the game Second Life, a virtual world where people reinvent themselves.
Around 14 million Britons are believed to regularly use social networking sites to communicate with old friends or make new ones. The popularity of the Friends Reunited website several years ago was also blamed for a surge in divorces as bored husbands and wives used it to contact old flames and first loves.
The UK's divorce rate has fallen in recent years, but two in five marriages are still failing according the latest statistics. Mr Keenan believes that the general divorce rate will rocket in 2010 with the recession taking the blame.
In the US, a sex assault victim seeking compensation faces the prospect of her MySpace and Facebook pages being produced in court. In Texas, a driver whose car was involved in a fatal accident found his MySpace postings ("I'm not an alcoholic, I'm a drunkaholic") part of the prosecution's case.
From Los Angeles to Lowestoft, thousands of social network site users have lost their jobs – or failed to clinch new ones – because of their pages' contents. Police, colleges and schools are monitoring MySpace and Facebook pages for what they deem to be "inappropriate" content. Online security holes and users' naivety are combining to cause privacy breaches and identity thefts. And what all this, and more, adds up to is this: online social networking can seriously damage your life.
Sources: Telegraph, The Independent.
 
...mnh,....ngoma ilianzia friends reunited, Hi5 na where are you now (wayn)bana!
ila kiukweli FB ni noma! maana likes na comments mnazotumiana zi hadharani!

Mbaya zaidi ni pale unapokuta mwenzio ka upload 'sexy' images halafu wewe mume mtu ni mmoja
wa alio wa limit access ya kuziangalia! he he he...mapenzi ni vituko sana.
 
...mnh,....ngoma ilianzia friends reunited, Hi5 na where are you now (wayn)bana!
ila kiukweli FB ni noma! maana likes na comments mnazotumiana zi hadharani!

Mbaya zaidi ni pale unapokuta mwenzio ka upload 'sexy' images halafu wewe mume mtu ni mmoja
wa alio wa limit access ya kuziangalia! he he he...mapenzi ni vituko sana.
Umeona mkuu
 
Back
Top Bottom