Barbie Maliposa
Senior Member
- Feb 9, 2011
- 153
- 19
Hi dia...Duh,kwani mwanamke akishaolewa anapaswa kuwa na uadui na wapenzi wake wa nyuma?wapi imeandikwa ni dhambi au kosa? Urafiki wa facebook una shida gani? mwambie ajue kwanza kinachoendelea ndo atake ushauri.....ku wapi kuaminiana kwa wanandoa siku hizi? yaani kuna kuviziana....ni haki yake kuwa na urafiki na yeyote as long as hauhatarishi ndoa na familia!!:rant: