Mkeo ameanzisha urafiki na Ex-boy friend wake wa kwanza

Apr 11, 2011
59
41
Wanakwetu habari zaidi. Ni mara ya kwanza kuwepo jukwaa hili baada ya muda mrefu wa kuwa observer tu bila kuchangia.
Jamaa yangu wa karibu kaja na lake jambo. Amekuta mkewe ana urafiki kwenye facebook na boy friend wake wa kwanza (aliyemtoa nanihii..., nadhani wakubwa mmeelewa).
Jamaa issue imemchanganya sana japo hajui kinachoendelea. Kaniomba ushauri nami nikaona kabla ya kumshauri (guidance or counciling) nipate mawazo yenu.
Wewe issue hii ungeichukuliaje, au ungechukua hatua gani?
Naomba mawazo yenu wala si kupotezeana!
Nawakilisha
 
kwani nini tatizo?
mi mbona aliyenitoa nanihii ni rafiki yangu na hakuna mbaya yoyote?
 
Duh,kwani mwanamke akishaolewa anapaswa kuwa na uadui na wapenzi wake wa nyuma?wapi imeandikwa ni dhambi au kosa? Urafiki wa facebook una shida gani? mwambie ajue kwanza kinachoendelea ndo atake ushauri.....ku wapi kuaminiana kwa wanandoa siku hizi? yaani kuna kuviziana....ni haki yake kuwa na urafiki na yeyote as long as hauhatarishi ndoa na familia!!:rant:
 
hivi kwani ukiolewa ndio hutakiwi kuwa na urafiki na marafiki zako wa zamani???????

kwani huyo rafiki yako kahisi kitu gani???????? ina maana mkewe angeamua kuchunguza simu yake ya mkononi asingekuta no za ma baa medi au ma bibi zake wa zamani?????

inamaana kama huyo mkewe wamekosa mawasiliano mengine kama kweli wameamua kurudia relation yao mpaka facebook?????????

najiuliza maswali mengi sipati jibu!!!
 
Wanakwetu habari zaidi. Ni mara ya kwanza kuwepo jukwaa hili baada ya muda mrefu wa kuwa observer tu bila kuchangia.
Jamaa yangu wa karibu kaja na lake jambo. Amekuta mkewe ana urafiki kwenye facebook na boy friend wake wa kwanza (aliyemtoa nanihii..., nadhani wakubwa mmeelewa).
Jamaa issue imemchanganya sana japo hajui kinachoendelea. Kaniomba ushauri nami nikaona kabla ya kumshauri (guidance or counciling) nipate mawazo yenu.
Wewe issue hii ungeichukuliaje, au ungechukua hatua gani?
Naomba mawazo yenu wala si kupotezeana!
Nawakilisha

Soma hiyo red............. Kwani facebook ni kitanda? Mbona hahoji marafiki wengine wa kwenye facebook............. As always masculinity hegemony of we men............ Aseme kama kwenye facebook page ya demu wake amekuta recent snaps wakiwa wanavinjari zinazoashiria they are dating...... Otherwise, hata huyo mshikaji naamini bado anaurafiki na his Ex's..........
 
Teh teh teh....poleni mlioko kwenye ndoa.

Internet ni balaa katika mahusiano. Hakuna kuaminiana tena.
 
Wanakwetu habari zaidi. Ni mara ya kwanza kuwepo jukwaa hili baada ya muda mrefu wa kuwa observer tu bila kuchangia.
Jamaa yangu wa karibu kaja na lake jambo. Amekuta mkewe ana urafiki kwenye facebook na boy friend wake wa kwanza (aliyemtoa nanihii..., nadhani wakubwa mmeelewa).
Jamaa issue imemchanganya sana japo hajui kinachoendelea. Kaniomba ushauri nami nikaona kabla ya kumshauri (guidance or counciling) nipate mawazo yenu.
Wewe issue hii ungeichukuliaje, au ungechukua hatua gani?
Naomba mawazo yenu wala si kupotezeana!
Nawakilisha


sijajua unataka mawazo ya nini..cause i don see any problem
 
Soma hiyo red............. Kwani facebook ni kitanda? Mbona hahoji marafiki wengine wa kwenye facebook............. As always masculinity hegemony of we men............ Aseme kama kwenye facebook page ya demu wake amekuta recent snaps wakiwa wanavinjari zinazoashiria they are dating...... Otherwise, hata huyo mshikaji naamini bado anaurafiki na his Ex's..........


Hiyo Blue...ndo ukweli....
 
Wanakwetu habari zaidi. Ni mara ya kwanza kuwepo jukwaa hili baada ya muda mrefu wa kuwa observer tu bila kuchangia.
Jamaa yangu wa karibu kaja na lake jambo. Amekuta mkewe ana urafiki kwenye facebook na boy friend wake wa kwanza (aliyemtoa nanihii..., nadhani wakubwa mmeelewa).
Jamaa issue imemchanganya sana japo hajui kinachoendelea. Kaniomba ushauri nami nikaona kabla ya kumshauri (guidance or counciling) nipate mawazo yenu.
Wewe issue hii ungeichukuliaje, au ungechukua hatua gani?
Naomba mawazo yenu wala si kupotezeana!
Nawakilisha

Hamna tatizo, "life is too short to build enemies". Urafiki wa facebook sio tatizo kabisa.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom