Savage Dad
JF-Expert Member
- Jul 10, 2018
- 1,388
- 2,613
Mara nyingi kwenye jambo zuri lazima kue na sura ya furaha kwa mtu na utamjua ila kma itakua kinyume chake na mtu akishindwa kukwambia basi panakua na habar tofauti.Mmh. Nakupunguzia likes za kwangu Mkuu. Haya sema anakuwa na jambo gani?
Najua mtasema pesa lakini saa nyingine waeza kuta ana mawazo ya mazuri na kujenga tu ila uso wako ulivyopokea hilo swali ukasababisha aghairi.