Mkeo akikuuliza hili swali unajibuje???

hii sredi tunaita "dola za zimbabwe", yaani haina samani kabisa. naomba muanzilishi ahukumiwe kwa mujibu wa sheria za JF.

asanteni kwa ushirikiano
 
Duu,yaani mimi sina uhakika kama kuna kiswahili kwenye hii mada ya huyu mtoa mada,sababu sijaelewa tokea mwanzo mpaka mwisho wa hii mada!!
 
huwezi kumuuliza mumeo swali kama hilo!!unless wako kny open-relationship..in that case utakuwa ni ujinga kuuliza hivyo-hapo ni unatoa hio kitu ama hutoi...baaasi:embarrassed:
 
mmhh huyo ashatoa kama mi mumewe ningemwambia nenda tu tupate ajira..ma hny wee mwanamke aje kukuomba kumegwa si atarukwa na ukuta kabisa loh mmh kazi ipo
 
mimi nitaona poa tu,nitakula hela zake kisha nitamtema, I won't marry her.
Alie andika topic hii sio kwamba hajui kuandika bali alikuwa na haraka, si unajua kwenye moderm labda aliweka buku.
 
Huyo demu mjanja kaona jamaa sura mbaya amtose lakini jamaa angekuwa amekula tunda poa taratibu wala asingesema chochote jamaa angekuwa akiambiwa naenda semina kila mwezi... duu ndoa uvemilivu kweli!
 
BINTI MMOJA ALIBAHATIKA KUWAHI KUOLEWA NA KAHENDISAMU KAMOJA ILA SIO KAPIGA MIZNGAKALE KABINTI KALIOLEWA NDANI YA AJIRA GAFLA IKASITISHWA AKIKA AKAKAA KAMA MIEZI 7 BILA AJIRA AKAKAUTANA NA RAFKIE ANAJUANA NA MKURUGENZI MMOJA WA KAMPUNI ZA *******GAFLA WAKAKUTANA PAMOJA....NA MH BINTI KWA SHIDA ALIOKUWA NAYO AKAHAIDIWA USAFIRI WA KWENDA NA KUMRUDISHA NA MSHARA MZURI TU....JAMAA AKATOA MASHARTI MOJA YA KUPATA JOB NI KULIWA TUNDA LA e@#$%BINTI AKAONA AMSHIRIKISHE MUMEWE KWA HILI...MUME WANGU NIMEPATA AJIRA LAKINI KUNA HILI SWALI LA KUSHIRIKIANA BOSI ANATAKA KULA TUNDA LAKO NIFANYEJE.....UKIWA KAMA WE NI MUMEMTARAJIWA WA NDOA KAMA HII EMBU JITWIKE ZIGO PILI NAKUPONGEZA MAMA KWA KUMSHIRIKISHA MUMEO HILI INGAWA SIRI YAKO NA YANGU KAMA ALISHAKULA MZIGO AMA LA MUME ANAPELEKEWA KAMA USHAHIDI ACOMFIRM......JmNI NDOA


Binafsi sijakuelewa!!
 
Kitu kama hiki hakipo. Asituzingue. Kama kuna yeye hapa amewahi ulizwa swali kama hilo aseme.

Lakini nimejifunza mengi.

1. I believe more than 50% ya wanawake walio olewa wamewahi kuonjesha maofisini.
2. Halafu more than 90 % ya wanaume wanao fanya kazi wameonja nje ya ndoa.
3. Kuoa mwanamke aliye soma,anafanya kazi, mwaminifu, mke bora na mwenye msimamo ni kupitisha ngamia katika tundu la sindano.
4.kuolewa na mwanaume aliyesoma, anafanya kazi, mwaminifu, hadanganyi, mpole, smiling all the time ni kwenda kumsalimia malkia wa uingereza kwa kumbusu.
5. Kama wanaume ni waminifu basi na wanawake nao ni hivyo.
 
nafikiri hili swali ni maalum kwa wakaka tu na lingeelekezwa huko, sie wengine tubaki wasomaji tu
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom