Mkeo akikuuliza hili swali unajibuje???

duuuh mimi kama mume ningekataa asimpe tunda, kwasasbabu anaweza akampa then kati ya wife au jamaa akanogewa wakaendelea na kamchezo. bora akose kazi lakini heshima ibaki ndani ya ndoa.
 
maswali mengne ni km vile MOJA JUMLISHA MOJA NI SAWA SAWA NA.......
poa basi kamwambie amruhusu tu mke wake ampe bos...afta one yr ataambiwa ampe ile t..g ili apandshwe cheo n aamruhusu pia....kumbuka u mchezo autakoma pale tu pa kuingia ni long live mpk atakapoacha ama bos kuacha kaz...UIINGIAJI WAKO NDYO UNADATERMINE UKAAJI WAKO..

km uyo kaka kakosa majibu mpk akuulize wewe kwenye case nyepes kimaamuzi km hii kuna walakin ..
....t seems jamaa yupo haf haf sjui nimruhusu tu demu wangu akamegwe....
...ni ujinga wa kutupwa yan ilibd b4 demu ajamalizia kumwadithia jamaa story ya bos jamaa angekuwa ashapata jibu la kusema..
.....bt km i nayo inamtia kwenye dilema bas nachelea kuona UBUSARA,HEKIMA NA UANAUME WA UYO MWANAUME...
....hata utash wa kutoa maamuzi neh apo iz ol i can say.

AMSINDKIZE DEMU WAKE KWA BOS AKA..ILI APATE KAZ.
 
BINTI MMOJA ALIBAHATIKA KUWAHI KUOLEWA NA KAHENDISAMU KAMOJA ILA SIO KAPIGA MIZNGAKALE KABINTI KALIOLEWA NDANI YA AJIRA GAFLA IKASITISHWA AKIKA AKAKAA KAMA MIEZI 7 BILA AJIRA AKAKAUTANA NA RAFKIE ANAJUANA NA MKURUGENZI MMOJA WA KAMPUNI ZA *******GAFLA WAKAKUTANA PAMOJA....NA MH BINTI KWA SHIDA ALIOKUWA NAYO AKAHAIDIWA USAFIRI WA KWENDA NA KUMRUDISHA NA MSHARA MZURI TU....JAMAA AKATOA MASHARTI MOJA YA KUPATA JOB NI KULIWA TUNDA LA e@#$%BINTI AKAONA AMSHIRIKISHE MUMEWE KWA HILI...MUME WANGU NIMEPATA AJIRA LAKINI KUNA HILI SWALI LA KUSHIRIKIANA BOSI ANATAKA KULA TUNDA LAKO NIFANYEJE.....UKIWA KAMA WE NI MUMEMTARAJIWA WA NDOA KAMA HII EMBU JITWIKE ZIGO PILI NAKUPONGEZA MAMA KWA KUMSHIRIKISHA MUMEO HILI INGAWA SIRI YAKO NA YANGU KAMA ALISHAKULA MZIGO AMA LA MUME ANAPELEKEWA KAMA USHAHIDI ACOMFIRM......JmNI NDOA

Nimemkumbuka Shigongo ghafla!
 
Malaria haikubalikii! Kazi kwa rushwa ya ngono haikubaliki!!! Kwanza mimi namponda huyo dada "straight forward" kwa kuwa kuna vitu vya kumshirikisha mumeo ambavyo havina makwazo na viko nje ya uwezo wako. Iweje ashindwe kutoa uamuzi wakati yeye anajua kabisa serikali, dini zinakataza zinaa na rushwa ya ngono!!!
Hatukatai shida kila mtu anazo lakini asiendekeze shida hadi kuuvua utu wako. Kama yeye anajiona ana shida aangalie ndugu zake wa vijijini ambao wanaamka asubuhi na kunywa uji kisha wanakwenda shambani kutafuta riziki basi hao ndiyo ingekuwa rahisi kabisa kufanya lolote kwa minajili ya shida ikiwemo hata ngono ambayo yeye anataka kuicommmit.
Mwisho kama ni mimi ningemwambia asiniletee maada za kipuuzi puuzi na kunitusi mbele yangu nitakuja kumslash bure!!!!!!!
 
topic yake inaeleweka nyinyi.
Hiyo bwana ni rushwa ya ngon live binafsi ninge piga 113 kwa dr.hoseh tumwekee mtego wa rushwa.
yaniiii ndo hivyo hivyo...namwambia tumchezee ka mchezo iwe fundisho
 
Mheshimiwa huwa hatuandiki kwa herufi kubwa. Herufi kubwa mara nyingi zinatumika kwenye vichwa vya habari. Halafu kunandika kisa kizima kwa sentensi moja tu kumefanya usomaji kuwa mgumu sana.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom