Mkenya 'Kihiyo' aongoza shule ya kimataifa Dar es Salaam

Sasa mkuu ulikuwa unajua hayo!? yakielezwa mambo namna yanavyokwenda mnasema kuna chuki binafsi, yule jamaa hapo juu sikupenda kumtolea maneno makali ila kanikera mno kwa Kejeli zake,
Naamini siku zote hoja inazimwa kwa hoja, sasa watu wanaeleza matatizo ya uongozi wa shule yeye analeta kejeli

Alete kanusho ya haya yaliyoripotiwa kama yeye kweli ni mtetezi wake
Hakika nimeyajua mengi. Wote tumefunguka macho.

Mwendo tumeuanza vibaya lakini hatimaye tumekubaliana shule ina matatizo.
 
Huo ndiyo ukweli,hawezi kuyakana haya,kwakuwa wote tulikuwa nabwatoto hapo,hata tuliyokuwa tunayasema katika siku zile za vikao na bodi ya Mutungi hakuna hata ambacho na hiyo bodi pia imefanyia kazi.
Yapo mabovu ya bodi hapo ni machache kuliko mengi yaliyokuwa ndani ya uwezo wa mwalimu mkuu David.
Shule ina walimu wabovu wengi ambao mtoto anapatia swali,wao bila kujiridhisha wanam-mark wrong mtoto,yaani ndiyo wana mmaliza kabisa wakati alikuwa anajua.
Coxson nimekuelewa. Ubarikiwe
 
Nenda Kenya ukiwa Mtanzania, ushike nafasi ya kawaida sana huku ukiwa huna sifa halafu umiliki vimalimali kama alivyotaja Pdidy hapo juu uone kitakachokutokea. Usichukulie mambo kirahisi ukisweep conclusions kwa assumptions zisizo na uzito!
Wabongo sisi ni wapuuzi wa mwisho. Hapa wanamtetea huyo mkenya as if hao wakenya ni watu wazuri sana.

Aende Kenya aone kama kuna mbongo anathubutu kuishi kijanjajanja, huko ata wakitofautiana makabila ni vita.
 
Wabongo sisi ni wapuuzi wa mwisho. Hapa wanamtetea huyo mkenya as if hao wakenya ni watu wazuri sana.

Aende Kenya aone kama kuna mbongo anathubutu kuishi kijanjajanja, huko ata wakitofautiana makabila ni vita.
Watu hawajui hao jamaa walivyo. Hawataki upuuzi kwenye maswala ya huko kwao ukiwa mgeni, halafu watu wanakaa wanawatetea tu.
 
Ndiyo maana nilimuhamisha mwanangu, mwanzo ilikua inafanya vizuri wakabadilisha walimu ikawa tabu tupu....
 
Back
Top Bottom