MK254
JF-Expert Member
- May 11, 2013
- 31,746
- 48,342
Alikwenda kisiri na kuishi huko zaidi ya wiki mbili, akakamatwa wakati anajaribu kurudi, amepimwa na kukutwa amesheheni kirusi. Atakula jeuri yake mpuzi, kila siku tunasema watu waepuke kwenda kule Tanzania kwa sasa, wale kule wameshafanya maamuzi ya kufukia vichwa ardhini, wamegoma kuchukua hatua zozote za maana, bado wanasongamana kwenye vilabu vya pombe na kwenye madaladala, sasa ukienda huko lazima uibuke nacho.
Wameacha kupima baada ya kuibua tikitaka za mapaipai na matikiti maji, hivyo hawaendani na taifa lolote duniani. Wamezembea kupita maelezo na kukaidi kila aina ya ushauri wa kitaalam, na wameshatangaza ligi la soka litaendelea. Hehehe wakaidi balaa, mfupa uliomshinda fisi.
======
Covid-19: Homa Bay's 2nd patient sneaked into Tanzania and back
The 45-year-old woman from Homa Bay County, who tested positive for the coronavirus, sneaked into Kenya from Tanzania where she had attended a relative’s funeral.
The woman, who hails from Gwassi in Suba Sub-county, reportedly crossed into Tanzania illegally two weeks ago, to bury her step-father in Shirati.
County Health executive Richard Muga said she stayed in that country for two weeks and that it is believed she contracted the virus there.
She returned to Kenya at about midnight on May 5 and then travelled back to her home in Mukuyu village using a boda boda.
Villagers reported her travels to local authorities, worried about possible transmission of the Covid-19 disease.
"They had not seen her for two weeks. They got information that she had travelled to Tanzania for a funeral and decided to inform their local chief," Prof Muga said.
Source: Daily Nation
Wameacha kupima baada ya kuibua tikitaka za mapaipai na matikiti maji, hivyo hawaendani na taifa lolote duniani. Wamezembea kupita maelezo na kukaidi kila aina ya ushauri wa kitaalam, na wameshatangaza ligi la soka litaendelea. Hehehe wakaidi balaa, mfupa uliomshinda fisi.
======
Covid-19: Homa Bay's 2nd patient sneaked into Tanzania and back
The 45-year-old woman from Homa Bay County, who tested positive for the coronavirus, sneaked into Kenya from Tanzania where she had attended a relative’s funeral.
The woman, who hails from Gwassi in Suba Sub-county, reportedly crossed into Tanzania illegally two weeks ago, to bury her step-father in Shirati.
County Health executive Richard Muga said she stayed in that country for two weeks and that it is believed she contracted the virus there.
She returned to Kenya at about midnight on May 5 and then travelled back to her home in Mukuyu village using a boda boda.
Villagers reported her travels to local authorities, worried about possible transmission of the Covid-19 disease.
"They had not seen her for two weeks. They got information that she had travelled to Tanzania for a funeral and decided to inform their local chief," Prof Muga said.
Source: Daily Nation