johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,607
- 141,429
Raia mmoja wa Kenya ambaye ni muathirika wa HIV aids ameandika kitabu akielezea safari yake ya Samunge Loliondo alikoenda kunywa kikombe cha babu mchungaji Mwaisapile.
Mkenya huyo adai kikombe cha babu hakikuwa na uponyaji wowote kwani yeye hakupona na wengi alioenda nao kutokea Kenya walikufa baada ya kurejea nyumbani.
Katika makala iliyorushwa na Citizen tv wamehojiwa watu wengi wakiwemo waliokwenda kutibiwa na wale waliopeleka wagonjwa wao huko Samunge.
Wengi wameonyesha kumlalamikia Mwaisapile aka babu wa Loliondo kuwa aliwatapeli.
Source Citizen tv
My take; Walioenda kwa babu waliponywa kwa imani zao!
NB: Mahojiano yataendelea leo Jumatatu ambapo mchungaji Mwaisapile aka babu wa Loliondo ataelezea maono yake. Saa 3 usiku Citizen tv!
Up dates: Ghosts of Loliondo part 2
Babu wa Loliondo anasema wakati ule alipokea wageni kutoka pembe zote za Dunia waliokuja kunywa dawa
Babu anasema Mungu alimtokea katika ndoto akamwonyesha dawa ya kutibu ukimwi.
Mchungaji Mwaisapile anadai wale wanaosema watu wamekufa wanamwonea wivu na miongoni mwao ni viongozi wa Kanisa na waganga wa kienyeji.
Mkenya huyo adai kikombe cha babu hakikuwa na uponyaji wowote kwani yeye hakupona na wengi alioenda nao kutokea Kenya walikufa baada ya kurejea nyumbani.
Katika makala iliyorushwa na Citizen tv wamehojiwa watu wengi wakiwemo waliokwenda kutibiwa na wale waliopeleka wagonjwa wao huko Samunge.
Wengi wameonyesha kumlalamikia Mwaisapile aka babu wa Loliondo kuwa aliwatapeli.
Source Citizen tv
My take; Walioenda kwa babu waliponywa kwa imani zao!
NB: Mahojiano yataendelea leo Jumatatu ambapo mchungaji Mwaisapile aka babu wa Loliondo ataelezea maono yake. Saa 3 usiku Citizen tv!
Up dates: Ghosts of Loliondo part 2
Babu wa Loliondo anasema wakati ule alipokea wageni kutoka pembe zote za Dunia waliokuja kunywa dawa
Babu anasema Mungu alimtokea katika ndoto akamwonyesha dawa ya kutibu ukimwi.
Mchungaji Mwaisapile anadai wale wanaosema watu wamekufa wanamwonea wivu na miongoni mwao ni viongozi wa Kanisa na waganga wa kienyeji.