Mkenya aandika kitabu akikiponda "kikombe" cha babu wa Loliondo adai kiliua watu wengi badala ya kuwaponya

Sio kila aliyekwenda Semunge kupata kikombe cha Babu wa Loliondo alikuwa mgonjwa. Kuna baadhi ya Viongozi wetu walikwenda Semunge kupata kikombe cha Babu wa Loliondo kwa nia tuu ya kuonyesha solidarity lakini hawakuwa wagonjwa.

Viongozi wengine walifika Semunge sio ili kunywa Kikombe cha Babu wa Loliondo, bali walifika pale in line of duty.
P
 
kwahyo wanaokufa hospitalini huwa ni utapeli?
Medical practice ni fani iliyothibitishwa kisayansi. Kila anachofanya daktari kimepitia hatua nyingi mno mpaka kikakubalika. Huyu babu aliamka na kutudanganya kuwa kaoteshwa ndoto aanze kugawa kikombe cha mitishamba isiyo na ushahidi wowote wa kuponya.

Huu ni utapeli wa wazi wazi. Labda tunamkingia kifua kwa sababu waafrika bado tunaishi katika zama za giza zilizojaa imani potofu na imani za kishirikina.

Mimi bado naendelea kuamini kuwa huyu babu Mwasapilealikiwa tapeli.
 
Raia mmoja wa Kenya ambaye ni muathirika wa HIV aids ameandika kitabu akielezea safari yake ya Samunge Loliondo alikoenda kunywa kikombe cha babu mchungaji Mwaisapile.

Mkenya huyo adai kikombe cha babu hakikuwa na uponyaji wowote kwani yeye hakupona na wengi alioenda nao kutokea Kenya walikufa baada ya kurejea nyumbani.

Katika makala iliyorushwa na Citizen tv wamehojiwa watu wengi wakiwemo waliokwenda kutibiwa na wale waliopeleka wagonjwa wao huko Samunge.
Wengi wameonyesha kumlalamikia Mwaisapile aka babu wa Loliondo kuwa aliwatapeli.
Source Citizen tv

My take; Walioenda kwa babu waliponywa kwa imani zao!

NB: Mahojiano yataendelea leo Jumatatu ambapo mchungaji Mwaisapile aka babu wa Loliondo ataelezea maono yake. Saa 3 usiku Citizen tv!

Ni kweli. Ni aibu kwa kanisa kusimamia kitu ambacho hawakuwa na uhakika nacho
 
Sema babu tulimsahau. Kwanini hizi wiki kumekua na thread za kuhusu kikombe na babu sana. Kwanini anapata airtime tena. What else is he cooking?
 
Back
Top Bottom