YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,908
- 51,904
Nakubakiana na wewe Hana reliable statitistics anaongea tu kama mwehu hewani.Kwa babu loliondo walienda mamilioni toka mataifa mbalimbali walitoka nchi za Afrika mashariki,Kati na kusini nk.Yeye kahoji Wakenya wenzie wachache Tena wa kabila Yake wawili watatu anakuja na conclussion kuwa wengi walikufa!!!! As if walioenda kunywa kikombe ni Wakenya Tena wa kabila lake tu na ndio waliokufa Tena haweki Ushahidi wa vifo vyao Kama death certificate na proof kuwa walienda Loliondo kwa babu na kunywa kikombe nk!! Hicho kitabu kipigwe marufuku kuuzwa Tanzania kisikanyage kabisa .Huyo mkenya Hana akili, Ana uthibitisho gani waliokunywa wengi wamekufa. Kuna propaganda Za kijinga zinaenezwa