Kenfurah
Senior Member
- Jan 23, 2019
- 113
- 321
Mimi ni binti wa miaka 25, ni muhitimu wa shahada ya ukemia mwaka 2018 katika chuo kikuu cha Dar es Salaam. Ninahitaji ajira yoyote ya halali katika viwanda au kampuni yoyote inayohusiana na ukemia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app