Elitwege
JF-Expert Member
- Jun 4, 2017
- 5,154
- 10,809
Habari wadau.
Leo napenda kuweka wazi hili linalonikwaza kwa huyu mkemia mkuu wa serikali.
Ijulikane kwamba kila mwisho wa mwaka mkemia mkuu wa serikali amekuwa akitoa matokeo ya vipimo vya DNA alivyovifanya kwa mwaka mzima.
Lakini kila akitoa ripoti huonyesha kuwa wababa wengi walioenda kupima DNA inaonyesha watoto si wa kwao!
Yani bila kujali madhara yatakayotokea kwenye jamii ,yeye hutangaza tu kwamba matokeo yanaonyesha watoto si wa kwenu.
Jiulize wewe baba umelea mimba kwa kutoa matumizi, mtoto akazaliwa ukanunua nguo na mtoto akakua na ukampeleka shule.
Baadae kirahisi rahisi tu mkemia mkuu anakuja kutangaza mtoto si wako!!
Ungekuwa wewe ungejisikiaje??
Kwa taarifa yako hiyo ripoti inasababisha ndoa kuvunjika na kuongezeka kwa watoto wa mitaani!!
Mkemia mkuu jiulize upya namna ya kuwasilisha ripoti yako kwa jamii.
Leo napenda kuweka wazi hili linalonikwaza kwa huyu mkemia mkuu wa serikali.
Ijulikane kwamba kila mwisho wa mwaka mkemia mkuu wa serikali amekuwa akitoa matokeo ya vipimo vya DNA alivyovifanya kwa mwaka mzima.
Lakini kila akitoa ripoti huonyesha kuwa wababa wengi walioenda kupima DNA inaonyesha watoto si wa kwao!
Yani bila kujali madhara yatakayotokea kwenye jamii ,yeye hutangaza tu kwamba matokeo yanaonyesha watoto si wa kwenu.
Jiulize wewe baba umelea mimba kwa kutoa matumizi, mtoto akazaliwa ukanunua nguo na mtoto akakua na ukampeleka shule.
Baadae kirahisi rahisi tu mkemia mkuu anakuja kutangaza mtoto si wako!!
Ungekuwa wewe ungejisikiaje??
Kwa taarifa yako hiyo ripoti inasababisha ndoa kuvunjika na kuongezeka kwa watoto wa mitaani!!
Mkemia mkuu jiulize upya namna ya kuwasilisha ripoti yako kwa jamii.