Mlachake
JF-Expert Member
- Oct 13, 2009
- 4,412
- 4,558
Hii Nonsense nahisi kuna jambo sijaelewa mimi tofauti na hotuba ya waziri.
Kama nilimuelewa waziri ni kwamba tunatakiwa kuagiza sukari kutoka nje ku cover gap la uzalishaji otherwise mwekezaji anaweza kufanya expansion badala ya kuagiza.(Expansion inaweza ku cover shortage ya sasa?)
Pia wazalishaji pekee ndio wenye sifa za kupewa vibali vya kuagiza.
Kama nilimuelewa waziri ni kwamba tunatakiwa kuagiza sukari kutoka nje ku cover gap la uzalishaji otherwise mwekezaji anaweza kufanya expansion badala ya kuagiza.(Expansion inaweza ku cover shortage ya sasa?)
Pia wazalishaji pekee ndio wenye sifa za kupewa vibali vya kuagiza.