Last KING Ontuzu
JF-Expert Member
- Jul 22, 2016
- 587
- 783
Fanya hivi
1.Focus kwenye vitu vizuri ambavyo anakufanyia
2.Jivunie kupata mtu mwenye mapenzi ya dhati kwako
3.Fungua moyo wako umwingize,maana bado hujawahi kumweka moyoni muone km zawadi ambayo Mungu amekutunuku,maana yeye anajua vizuri tunavyostahili kuliko sisi tunavyovidhania
4.jifunze kumpenda,mtunze awe katika mwonekano unaoupenda utashangaaa anshaanza kukaa moyoni na utafurahia ndoa yako,maana mambo mengine mind set up tuu zinazofanya upende au usipende mtu.
Sent using Jamii Forums mobile app
1.Focus kwenye vitu vizuri ambavyo anakufanyia
2.Jivunie kupata mtu mwenye mapenzi ya dhati kwako
3.Fungua moyo wako umwingize,maana bado hujawahi kumweka moyoni muone km zawadi ambayo Mungu amekutunuku,maana yeye anajua vizuri tunavyostahili kuliko sisi tunavyovidhania
4.jifunze kumpenda,mtunze awe katika mwonekano unaoupenda utashangaaa anshaanza kukaa moyoni na utafurahia ndoa yako,maana mambo mengine mind set up tuu zinazofanya upende au usipende mtu.
Sent using Jamii Forums mobile app