Behind the camera
JF-Expert Member
- Jan 12, 2019
- 315
- 740
Salam Kaka na dada zangu. Leo napenda kushea nanyi ka historia kangu kwa ufupi.
Mimi ni kijana wa miaka 30 sasa. Mwaka 2012 nilipokuwa kijijini kwetu, nilimtongoza binti mmoja hivi wa makamo. Yule binti alikubali, kunipa sex, ila binafsi sikufurahia Sana shoo yake ilikuwa ya kawaida sana. Na lengo langu halikuwa awe wa kudumu, nilitaka anipunguze ashiki tu nilizokuwa nazo kwa wakati huo.
Kadiri siku zilivozidi kwenda binti wawatu alizidi kunipenda zaidi na zaidi. Alitaman sana siku moja tuoane. Nilionesha furaha ya kinafiki katika hili. Wakati huo sikua na kazi wala pesa, lakini binti alinipenda kama nilivokuwa.
Baada ya miezi kama 8 hivi ya mapenzi yetu, binti alinambia kuwa ana ujauzito wangu, niliumia sana lakini hatimaye nikakubaliana na matokeo na niliamua kulea ile mimba.
Mimba ilipokuwa na miezi sita niliondoka kijijini kwasababu nilipata kazi jijini Tanga, ilaa nilikuwa bado namhudumia mama kijacho wangu. Roho ilikuwa inaniuma sana hasa pale ambapo ninapomuona mpenzi wangu huyu akiwa na furaha kutokana na kuwa nami roho ilikuwa inanisuta sana sana.
Nilikuja kurudi kijijin nikamkuta mtoto amezaliwa na ana mwaka mmoja. Namshukuru Mungu mtoto alikuwa ni kopi yangu kila kitu.
KIUKWELI
Roho iliniuma Sana kumkuta mama mtoto wangu akiwa amekonda Sana kutokana na kuniwaza mimi mara kwa mara, KIUKWELI hapo ndo niliyaona mapenzi yake kwangu. Nililia Sana moyoni. Nilitamani kumuacha lakini roho ya kibinaadamu ilinisuta sana, kiukweli nilishindwa kwani hakuwahi kunikosea wala kusikia habari mbaya toka kwake tangu nilipokuwa naye.
Niliamua kupiga moyo konde na kuamua kumuoa ili tule wote maisha kiasi ambacho MUNGU alinijaalia, kwasababu mpaka wakati huo kidogo matunda ya kazi yalianza kuonekana. Alilia Kwa furaha baada ya kuona nimemchumbia rasmi kwa wazazi wake.
KINACHONISIKITISHA
Imefika kipindi sasa limenifika kooni, nilimuonea huruma nikamuoa lakini dhamira inanisuta jamani. Najikuta simpendi kutoka moyoni haswaaa, najikaza lakini wapi, kila nikijikaza lakini wapi.
Suala hili sijawahi kumwambia mtu yeyote hata rafiki zangu hawajui. Moyo ukashindwa kuvumilia siku moja nikaamua kuandika sehemu ili machungu kidogo yapungue moyoni. Daaah, bila kuamini macho yangu, yule mke akaifuma ile nukuu mahali. Daaah niliumia sana ingawa naye aliumia zaidi. Alilia sana nilimuonea huruma lakini kwa sasa amepitezea maisha yanaendelea.
ANANIPENDA SANA LAKINI NAUMIA
NIMEFIKA PABAYA SANA.
1. Siwezi kupiga zaidi ya bao moja (hisia nae sina)
2. Ana wivu nami kupita kiasi. Kiasi cha kufikia kunichubnguza simu zangu na mitandao baadhi ya kijamii. (NAUMIA Sana)
3. Mdomo mrefu (anaongea Sana)
ANANIPENDA SANA LAKINI NAUMIA.
MUNGU ANISAMEHE KWA MAKALA HII MBOVU.
USHAURI TAFADHALI
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi ni kijana wa miaka 30 sasa. Mwaka 2012 nilipokuwa kijijini kwetu, nilimtongoza binti mmoja hivi wa makamo. Yule binti alikubali, kunipa sex, ila binafsi sikufurahia Sana shoo yake ilikuwa ya kawaida sana. Na lengo langu halikuwa awe wa kudumu, nilitaka anipunguze ashiki tu nilizokuwa nazo kwa wakati huo.
Kadiri siku zilivozidi kwenda binti wawatu alizidi kunipenda zaidi na zaidi. Alitaman sana siku moja tuoane. Nilionesha furaha ya kinafiki katika hili. Wakati huo sikua na kazi wala pesa, lakini binti alinipenda kama nilivokuwa.
Baada ya miezi kama 8 hivi ya mapenzi yetu, binti alinambia kuwa ana ujauzito wangu, niliumia sana lakini hatimaye nikakubaliana na matokeo na niliamua kulea ile mimba.
Mimba ilipokuwa na miezi sita niliondoka kijijini kwasababu nilipata kazi jijini Tanga, ilaa nilikuwa bado namhudumia mama kijacho wangu. Roho ilikuwa inaniuma sana hasa pale ambapo ninapomuona mpenzi wangu huyu akiwa na furaha kutokana na kuwa nami roho ilikuwa inanisuta sana sana.
Nilikuja kurudi kijijin nikamkuta mtoto amezaliwa na ana mwaka mmoja. Namshukuru Mungu mtoto alikuwa ni kopi yangu kila kitu.
KIUKWELI
Roho iliniuma Sana kumkuta mama mtoto wangu akiwa amekonda Sana kutokana na kuniwaza mimi mara kwa mara, KIUKWELI hapo ndo niliyaona mapenzi yake kwangu. Nililia Sana moyoni. Nilitamani kumuacha lakini roho ya kibinaadamu ilinisuta sana, kiukweli nilishindwa kwani hakuwahi kunikosea wala kusikia habari mbaya toka kwake tangu nilipokuwa naye.
Niliamua kupiga moyo konde na kuamua kumuoa ili tule wote maisha kiasi ambacho MUNGU alinijaalia, kwasababu mpaka wakati huo kidogo matunda ya kazi yalianza kuonekana. Alilia Kwa furaha baada ya kuona nimemchumbia rasmi kwa wazazi wake.
KINACHONISIKITISHA
Imefika kipindi sasa limenifika kooni, nilimuonea huruma nikamuoa lakini dhamira inanisuta jamani. Najikuta simpendi kutoka moyoni haswaaa, najikaza lakini wapi, kila nikijikaza lakini wapi.
Suala hili sijawahi kumwambia mtu yeyote hata rafiki zangu hawajui. Moyo ukashindwa kuvumilia siku moja nikaamua kuandika sehemu ili machungu kidogo yapungue moyoni. Daaah, bila kuamini macho yangu, yule mke akaifuma ile nukuu mahali. Daaah niliumia sana ingawa naye aliumia zaidi. Alilia sana nilimuonea huruma lakini kwa sasa amepitezea maisha yanaendelea.
ANANIPENDA SANA LAKINI NAUMIA
NIMEFIKA PABAYA SANA.
1. Siwezi kupiga zaidi ya bao moja (hisia nae sina)
2. Ana wivu nami kupita kiasi. Kiasi cha kufikia kunichubnguza simu zangu na mitandao baadhi ya kijamii. (NAUMIA Sana)
3. Mdomo mrefu (anaongea Sana)
ANANIPENDA SANA LAKINI NAUMIA.
MUNGU ANISAMEHE KWA MAKALA HII MBOVU.
USHAURI TAFADHALI
Sent using Jamii Forums mobile app