Ukiskia ndoa ndoano sasa nimeanza kuiona
mke wangu huyu ni mpya kabisa ndoa haina mda, mimi ninafanyia kazi mkoa mwingime tofaut na tulipokua tunaishi sasa nilimtumia nauli aje huku jana tu ndio nimempokea stendi tena usiku
sasa cha kushangaza leo nimetoka kazini sijamkuta mpaka sasaivi saa mbili na robo usiku hajarudi namtafuta kwenye simu anadai eti amekutana na rafiki zake aliosoma nao ndo yuko anapiga nao story
ko mimi sasaivi niko napika
hizi si dharau za kisenge hizi?
mke wangu huyu ni mpya kabisa ndoa haina mda, mimi ninafanyia kazi mkoa mwingime tofaut na tulipokua tunaishi sasa nilimtumia nauli aje huku jana tu ndio nimempokea stendi tena usiku
sasa cha kushangaza leo nimetoka kazini sijamkuta mpaka sasaivi saa mbili na robo usiku hajarudi namtafuta kwenye simu anadai eti amekutana na rafiki zake aliosoma nao ndo yuko anapiga nao story
ko mimi sasaivi niko napika
hizi si dharau za kisenge hizi?