Mtafutie small house,atanyooka kama reli ya kati
umangalia amekuaje huyo? maana wanwake wa kihaya hawana nyodo hivyo kuzidi wanaume wao labda wachache. nijuavyo mimi...
Huyu mke wanu sijui nimfanyeje, anajiona ana akil na muweza kuliko kiumbe yeyote duniani.
ananinadharau na kuniona mimi na ndugu tu mazuzu.
Amevuka mipaka, hata na baba yake naye hamhehimu wala kumthamini,
Jamani je wanawake wote waliosoma vyuo vikuu wako hivi au ni huyu tu mke wangu wa Kihaya?
Kwasababu anamisimamo kama ya Lizy, ushaona hafai!
Sidhani kama ni sababu. Labda ni tabia yake tuHuyu mke wanu sijui nimfanyeje, anajiona ana akil na muweza kuliko kiumbe yeyote duniani.
ananinadharau na kuniona mimi na ndugu tu mazuzu.
Amevuka mipaka, hata na baba yake naye hamhehimu wala kumthamini,
Jamani je wanawake wote waliosoma vyuo vikuu wako hivi au ni huyu tu mke wangu wa Kihaya?
Mkuu umetoa zawadi gani kwa Chipolo polo? Nimeipenda hiyo suluhu yaani hadi Menopause unakuwa na watoto zaidi ya 15?Kuna jamaa aliwahi kusema mke wake alikuwa mkorofi, basi dawa yake ni kumpa ujauzito kila baada ya interval fupi fupi ! Ha ha haaa!
yawezekana jamaa amemuoa Lizzy wa JF lakini hajatambua mpaka leo!