Niende kwenye hoja, kumekuwa na desturi za ndugu na jamaa kuingilia mambo ya NDOA za watu na kutoa ushauri utadhani wao walisoma vyuo vya ndoa.
Ninavyojua mimi ndoa haiwezi kua na amani maisha yenu yote kuna siku mnatofautiana.
Mtu unamsema mke wa mwenzio vibaya sara siyo lika lako mara ni mfanyakazi atakunyanyasa, mara mchoyo, mara hapendi ndugu, sasa kama mawifi ni wanafiki asiseme eti kwa sababu kaolewa?
Binafsi sipendagi ujinga kama huo nikimuacha mke wangu NAOA ndugu sasa ili tuone hatima yake.
Nawasalimu kwa jina la jamhuri.
Ninavyojua mimi ndoa haiwezi kua na amani maisha yenu yote kuna siku mnatofautiana.
Mtu unamsema mke wa mwenzio vibaya sara siyo lika lako mara ni mfanyakazi atakunyanyasa, mara mchoyo, mara hapendi ndugu, sasa kama mawifi ni wanafiki asiseme eti kwa sababu kaolewa?
Binafsi sipendagi ujinga kama huo nikimuacha mke wangu NAOA ndugu sasa ili tuone hatima yake.
Nawasalimu kwa jina la jamhuri.