IJIGHA NDIO HOME
JF-Expert Member
- Jul 13, 2019
- 748
- 771
Habari wakuu,
Naomba kuuliza jambo moja la muhimu sana kwangu. Mimi nina mke sasa wakati anajifungua aliongezewa njia mtoto akatoka salama baada ya mda akafariki, sasa saizi ana ujauzito mwingine wa miezi sita.
Analalamika kuwa anahisi maumivu chini ya kitovu hasa sehemu alioshonwa sasa kuna dawa zozote anaweza tumia ilikupunguza hii kadhia au afanye nini ili aondokane na hili tatizo msaada tafadhali.
Nawasilisha.
Sent using Jamii Forums mobile app
Naomba kuuliza jambo moja la muhimu sana kwangu. Mimi nina mke sasa wakati anajifungua aliongezewa njia mtoto akatoka salama baada ya mda akafariki, sasa saizi ana ujauzito mwingine wa miezi sita.
Analalamika kuwa anahisi maumivu chini ya kitovu hasa sehemu alioshonwa sasa kuna dawa zozote anaweza tumia ilikupunguza hii kadhia au afanye nini ili aondokane na hili tatizo msaada tafadhali.
Nawasilisha.
Sent using Jamii Forums mobile app