mmakondehuru
JF-Expert Member
- Sep 25, 2016
- 385
- 149
Habari wanajamvi,
Maneno yafuatayo nimetamkiwa na Mke wangu usiku wa Leo,
"Nimenunua Kiwanja na nataka kuanza ujenzi, ukiona inafaa waweza kunishauri"
Haya yanasemwa ikumbukwe sisi wenyewe hatuna nyumba ya kuishi.
Maswali:
Ni vizuri yeye aanze ujenzi wa kwake wakati hatuna pa kuishi na tuna watoto 2? Kwanini anunue kiwanja bila kunishirikisha?
Naomba ushauri wenu tafadhari
Maneno yafuatayo nimetamkiwa na Mke wangu usiku wa Leo,
"Nimenunua Kiwanja na nataka kuanza ujenzi, ukiona inafaa waweza kunishauri"
Haya yanasemwa ikumbukwe sisi wenyewe hatuna nyumba ya kuishi.
Maswali:
Ni vizuri yeye aanze ujenzi wa kwake wakati hatuna pa kuishi na tuna watoto 2? Kwanini anunue kiwanja bila kunishirikisha?
Naomba ushauri wenu tafadhari