Shaffihsiraji
Senior Member
- Dec 15, 2018
- 158
- 119
- Thread starter
- #61
eg 29 wewe, yeye eg 26 maana yake nini!?
Hivi nyinyi mmeshaona dini ndio maisha ee? Huo upumbavu wa kuwatenganisha sijui mimi wa dini fulani siwez kuoa au kuolewa na wa dini fulani mnautoa wapi!?.
Niwaombe wazazi wote, wafundisheni watoto wenu hasa wa kiume kuwa na maamuzi Thabiti.
Maamuzi hayo ndo kama yapi Mkuu ?