Mke wangu kaniambia nina kibamia pia uume wangu hausimami vizuri naomba msaada

Sasa Mkuu kupiga show Massa mawili ndo ukojoe nalo ni tatizo? Au unajaribu kujimwambafai? Sema tu ngoma haisimami ipasavyo sio urojo unaotaka kuuleta, nenda kwenye point ya msingi ili wataalamu wakusaidie sio unarukaruka tu kama bisi motoni

Sent using Jamii Forums mobile app
hujui hii hari ya kuchelewa kukojaoa inavyotusesa sisi wengine nakumbuka shoo yangu ya mwisho kupiga demu ananiambia nimetumia mkongo kumkomoa kwani nilipiga sana bila mafanikio ya kutoa goli
 
MKUU mkeo ana SIFA GANI..isije ikawa MKEO HANA MVUTO...isije ikawa MKEO NDIO WALE WENYE RANGI kama UPINDE WA MVUA kwa KUJICHUBUA,, niamini mkuu NGUVU ZA MWANAMME zinavhangiwa na MWANAMKE... kama MWANAMKE ni mbovu..hana anachokuvutia UTASUMBUKA BURE MKUU....tafuta mtoto mzuri..mwingine uone kama tatizo hilo bado inalo? Mimi mwenyewe nilishawahi kuwa na tatizo la KUTO RUDIA TENDO PIA NACHELEWA KUKOJOWA,, kuna siku nilipata MWANAMKE Fulani AISEE!!! nilipiga GOLI 3 kwa muda wa dk 45....yaani kila nikipata dk 5 TU NAKOJOWA..nakaa dk 15 napanda tena NAKOJOWA...nikagunduwa kumbe tatizo ni SAMAKI SIO NYAU....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ufungwe kisa Nini...wanawake wapo kibao... Sasa Kama unakibamia afanyaje..hata Mimi ningekucheat tu.

Ingekuwa mwanaume mgesema mwanamke avumilie..

Sent using Jamii Forums mobile app
Point kabisa... Mwanamke wako akigawa papucbi kwa wengine wala usigombane nae wee nenda katafute papucbi nyingine... Yeye akiendelea kuileta yake pia unagegeda tuu.
Kuna mrembo mmoja wa jf aliniambiaga mzabzab papuchi haisuswi 🤣🤣🤣🤣🤣
Mungu ambariki kokote aliko maana kwa kweli mwanamke yule anajua kugegedana...
 
Back
Top Bottom