maliyamtu
JF-Expert Member
- Nov 29, 2017
- 2,135
- 3,866
Kazi za nyumbani zinachosha mnoo hasa ukiwa na watoto wadogo huwa unafika wakati mama hata ukiona uchafu Wala hutamani kuutoa asee inawezekana Ni mvivu lakini kaz nazo zinachosha Sana jaribu kwanza kuzungumza nae Kama Hali ikiendelea mtafutie msaidizi