Nyenyere
JF-Expert Member
- Sep 9, 2010
- 14,769
- 10,650
Yaani haki za hawa jamaa zimewekewa sheria kiasi kwamba dunia imepoteza maelekeoKwa kweli,wamejipanga kila sector ili Mambo yao ya kishetani yatimie,Mungu tu atulinde maana Mashoga wananguvu kubwa hapa Duniani kuliko Malijali, na hii sijui imesababishwa na nini!?
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app