Mke wangu hataki nimuadhibu mtoto akikosea

kuwa makini, nina wasi na UANAUME WAKO ndugu. Kama baba wakweli na halisi ukitaka kumnyoosha mtoto usijali chochote ikiwezekana changanya na mama yake (kama ni kikwazo) piga wote hadi wanyooke. Ndivyo baba yangu alikuwa akifanya...alikuwa akipiga mama na mtoto
Baba Ako alikua anampiga Mama yako pamoja na Wewe ?...Duuuh NAWEWE umeona huu Ni mfano Bora?

Sijawai ona wazazi wangu akipigana...Wala kurushiana maneno.
 
Mimi hua namwambia Junior my son don't cry eeeeh,nakauliza umeharibu remote ya Tv kanajibu yes dady then namwambia haya chukua na hio miwani yangu nayo vunja sawa my lovely son.

Then Junior anaivunja miwani na akimaliza nampongeza namwambia come on junior you're everything in our family na kenyewe kanajibu Yes Papaa,nakaambia haya make papa happy nenda kajisaidie kwny sufuria la chakula jikoni,kanaenda kujisaidia kwa furahaaaaaaaaa.
Sasa junior akija kuliwa kiboga usishangae.. Ulishamtengeneza kuwa hivyo
 
Kweli kabisa, niliishi na familia moja Fayetteville, North Carolina, walikuwa na mabinti mapacha miaka 13. Siku hiyo watoto wake walirudi nyumbani saa mbili usiku, bila taarifa yoyote kwa wazazi wakitika shule. Basi baba yao akawa akinung'unika kwa nini wamechelewa. Wale watoto walisema neno moja tu, ukiendelea kutusumbua tutaita polisi sasa hivi. Yule baba akaanza kujitetea kuwa anawasaidia tu kwa maisha yao. Watoto wamekasirika vibaya sana, baba anaomba msamaha.

Kibongo bongo nilijawa hasira vibaya mno, nikamuuliza jamaa, kwa nini uwabembeleze hivyo wakati ni watoto tu? Jamaa akanituliza haraka, kwamba kwa sheria za Marekani mtoto akifikisha miaka 12 ni kama sio wako tena. Analindwa na sheria za nchi balaa. Akasema hawa watoto wakienda polisi nimaweza hata kunyan'ganywa.
Sasa si Bora wawachukuwe kabisa kuliko kukaa na vitoto visivyo tii amri zangu za Nyumbani!!
 
Mie si muumini wa kutumia mbinu ya kupiga piga watoto kama njia ya kuwafunza.

Ila ikitokea ulazima wa kumchapa mtoto (inategemea na kosa na umri wake pia) kisha mama yake akaonesha kuchukia na kuninunia basi na yeye atakula bakora nyingi tena za kiutu uzima.
 
Mkuu, Ulaya kuna nidhamu ya malezi, bongo bila hivyo tutakuza kizazi cha panya road
Kuna sehemu flani nilikua majuu huko kipindi flani dogo hataki kunywa chai nikamnyuka balaa. Halafu gari la shule likafika anataka kutoka nikaogopa nikawaambia nendeni tu nitamleta mwenyewe ili asije akaenda shule analia buree nikashtakiwa.
Dah
 
Kuna tabia inanikera sana mtoto akikosea yeye anamuadhibu ila mimi nikimuadhibu inakua tatizo kubwa sana hata kununa siku nzima, wajuzi wa mambo hii hali ni kawaida au?
Mimi kinyume chake. Wife sitaki ampige mtoto coz hajui kupiga ana hasira. Mimi ndio nataka nimuadhibu mwanangu sio yeye.
By the way watoto hawachapwi chapwi ovyo
 
Pengine adhabu unayompa mtoto ni kubwa kuliko umri, au kosa lake, au ni adhabu ya kikatili sana kiasi mke roho inamuuma, maana sisi wanawake tuna mioyo miepesi sana when it comes to our kids, mimi naweza nikamchapa mtoto halafu baadae naanza kuumia kwamba kwa nini nimemchapa, hadi namuomba msamaha, baba yake akimchapa nasikia uchungu mpaka tumbo la uzazi linakata sema tu nakua sina jinsi nakaa kimya maana nae ana haki ya kumuadhibu kama mzazi.

Sema hapo kwenye kununa anakosea sana, cha msingi kaa uzungumze nae umwelekeze namna ambavyo mnatakiwa kumlea mtoto wenu bila kukwazana, na pia punguza adhabu kwa watoto, hakuna mwanamke anaependa kuona mtoto wake anaguswa au anaadhibiwa na mtu mwingine hata kama ni baba yake..subiri wenzagu waje maana najua tunafanana kwenye swala zima la watoto.
Amesema anamuadhibuje tuanzie hapo
 
Pengine adhabu unayompa mtoto ni kubwa kuliko umri, au kosa lake, au ni adhabu ya kikatili sana kiasi mke roho inamuuma, maana sisi wanawake tuna mioyo miepesi sana when it comes to our kids, mimi naweza nikamchapa mtoto halafu baadae naanza kuumia kwamba kwa nini nimemchapa, hadi namuomba msamaha, baba yake akimchapa nasikia uchungu mpaka tumbo la uzazi linakata sema tu nakua sina jinsi nakaa kimya maana nae ana haki ya kumuadhibu kama mzazi.

Sema hapo kwenye kununa anakosea sana, cha msingi kaa uzungumze nae umwelekeze namna ambavyo mnatakiwa kumlea mtoto wenu bila kukwazana, na pia punguza adhabu kwa watoto, hakuna mwanamke anaependa kuona mtoto wake anaguswa au anaadhibiwa na mtu mwingine hata kama ni baba yake..subiri wenzagu waje maana najua tunafanana kwenye swala zima la watoto.
Out of topic, mmama ni rahisi kucharaza bakora mtoto wa mwanamke mwenzake ila mtoto wake tumbo la uzazi linakata
 
Mimi hua namwambia Junior my son don't cry eeeeh,nakauliza umeharibu remote ya Tv kanajibu yes dady then namwambia haya chukua na hio miwani yangu nayo vunja sawa my lovely son.

Then Junior anaivunja miwani na akimaliza nampongeza namwambia come on junior you're everything in our family na kenyewe kanajibu Yes Papaa,nakaambia haya make papa happy nenda kajisaidie kwny sufuria la chakula jikoni,kanaenda kujisaidia kwa furahaaaaaaaaa.
Aisee, kipigo cha mbwa koko lzm kihusike
 
Kweli kabisa, niliishi na familia moja Fayetteville, North Carolina, walikuwa na mabinti mapacha miaka 13. Siku hiyo watoto wake walirudi nyumbani saa mbili usiku, bila taarifa yoyote kwa wazazi wakitika shule. Basi baba yao akawa akinung'unika kwa nini wamechelewa. Wale watoto walisema neno moja tu, ukiendelea kutusumbua tutaita polisi sasa hivi. Yule baba akaanza kujitetea kuwa anawasaidia tu kwa maisha yao. Watoto wamekasirika vibaya sana, baba anaomba msamaha.

Kibongo bongo nilijawa hasira vibaya mno, nikamuuliza jamaa, kwa nini uwabembeleze hivyo wakati ni watoto tu? Jamaa akanituliza haraka, kwamba kwa sheria za Marekani mtoto akifikisha miaka 12 ni kama sio wako tena. Analindwa na sheria za nchi balaa. Akasema hawa watoto wakienda polisi nimaweza hata kunyan'ganywa.
Kama watoto ndio wameamua nitengane nao kisa nawachunga potelea potee na waite hao police waende huko wanako enda kwani pumbu zangu zimeishiwa mbegu...? Leta wengine tu no one cares
 
Out of topic, mmama ni rahisi kucharaza bakora mtoto wa mwanamke mwenzake ila mtoto wake tumbo la uzazi linakata
Inategemea na mtu, ila kwa kweli mimi namchukia mtu anaepiga watoto, huwa napata uchungu sana, kuna mahala niliona mama anacharaza mtoto tena kipigo cha mbwa mwizi, nilikua napita nikashindwa kujizuia nikamfata nikamwambia muache huyo mtoto hastahili kipigo cha namna hiyo, yule mama hakujibu ila hakuendelea kumpiga mtoto, nikamuukiza amekosea nini eti akasema ameenda kuzurura tangu asubuhi, nikamwambia tu mfundishe kukaa nyumbani, mjengee mazingira, mnunulie michezo, mpe vitu vya kumfanya apende kucheza mazingira ya nyumbani, kumpiga hakusaidii
 
Aisee, kipigo cha mbwa koko lzm kihusike
Kulea sio vita muraa, mkipiga sana watoto baadae wanakuja kuwa viongozi wa kitaifa wanawaambia watawatandika mpaka shangazi zenu viboko

Mnawajengea watoto ukatili na chuki, na kwa staili hiyo viongozi wenye chuki na ukatili hawataisha nchi hii
 
Mimi hua namwambia Junior my son don't cry eeeeh,nakauliza umeharibu remote ya Tv kanajibu yes dady then namwambia haya chukua na hio miwani yangu nayo vunja sawa my lovely son.

Then Junior anaivunja miwani na akimaliza nampongeza namwambia come on junior you're everything in our family na kenyewe kanajibu Yes Papaa,nakaambia haya make papa happy nenda kajisaidie kwny sufuria la chakula jikoni,kanaenda kujisaidia kwa furahaaaaaaaaa.
Jamani Baba Junior 😀😀 yaani ntampiga huyo junior wako hatoamini kwenye sufuria?🙌
 
Hupaswi kuwaza sana katika hili.
Labda niulize tu:-

1. Huwa unatoa adhabu za aina gani?

2. Mtoto wako ana umri gani?



Nikushauri tu, si kila mtoto anapokosea unapaswa kutoa adhabu. Wakati mwingine itapeleka mtoto kuwa sugu. Watoto wanajifunza na kaa ukijua katika kujifunza atafanya makosa mengi sana.
 
Mimi kinyume chake. Wife sitaki ampige mtoto coz hajui kupiga ana hasira. Mimi ndio nataka nimuadhibu mwanangu sio yeye.
By the way watoto hawachapwi chapwi ovyo
Uko sawa, huenda yeye anapiga ovyo ovyo bila kujali
 
Samahani mkuu ila mbona kuna dalili za wewe kutawaliwa?
Au labda unamuadhibu mtoto kwa kipigo cha mbwa mwizi?Unamuadhibu ukijumlishia na msongo wa mawazo wa kazini na ugumu wa maisha?
Kuna tofauti kubwa mtu aliyetoka kupewa barua ya kupandishwa cheo akimchapa mtoto na mtu aliyetoka kupewa barua ya kufukuzwa kazi akimchapa mtoto.
 
Back
Top Bottom