Daaahwe acha tu ndugu yangu,na tayari tuna watoto watatu,visa in Vingi sana ndani ya hii miaka 15 ya ndoa.
Ila nashukuru kwa ujio Wa k vant ndo imekua ndoa njema kwangu.
Mmmh pole sana!Mara ya Kwanza niliyafanyia kazi nikafanikiwa. Ila siku mwambia kwasababu namjua.
Mara hii nkaona ngoja nimwambie,,, dooo najuta bora ningeendelea kimya kimya tuuu...
Napo ingekuwa tatizo
Mpuuze, pambana kivyakoSikuwa najua,
Kumbe kuwa na mwenza ambaye hasapoti juhudi zako za maendeleo INABOA SANA WAUNGWANA. Kitu ambacho sikua najua kumbe mke wako pia anaweza kukuonea wivu na kukudhuri kwa husda /kijicho /roho mbaya. Nimejiskia vibaya leo baada ya kumueleza kwa bashasha mke wangu WAZO langu zuuri hatimae kunilaumu na kuninunia.
Aisee! Nikamuuliza 'Sasa we unaona tufanyeje hapa?' hakuwa na jibu m badala wala suluhu yoyote. Wosia wake ni kuachana na ishu yangu na kujikalia tuuu.
Wito.
Mke/mume wako anaweza akawa kikwazo cha maisha na mafanikio yako. Najua mtapenda kujua ishu yenyewe, lakini naomba mniwie radhi kwa kutoiweka wazi.
Sasa kwa staili hii tutafikia uchumi mkubwa kweli?