Ifururu
JF-Expert Member
- Dec 28, 2017
- 547
- 622
Msaada,
Kila nikimkanya au kumuonya mke wangu kuhusu jambo fulani baya anakimbilia kusema tuachane nimechoka.
Sasa kauli hizi zinanichosha sielewi ana lengo gani maana hatutoweza kupanga lokote lenye manufaa.
Haupiti mwezi hatujagombana labda nikubali kuwa bwege ila mambo mengine roho inauma.
Unakuta watu wanamtongoza ukimwambia awe makini anakuuliza "mume wangu huniamini"
Kila nikimkanya au kumuonya mke wangu kuhusu jambo fulani baya anakimbilia kusema tuachane nimechoka.
Sasa kauli hizi zinanichosha sielewi ana lengo gani maana hatutoweza kupanga lokote lenye manufaa.
Haupiti mwezi hatujagombana labda nikubali kuwa bwege ila mambo mengine roho inauma.
Unakuta watu wanamtongoza ukimwambia awe makini anakuuliza "mume wangu huniamini"