Paul mathew
JF-Expert Member
- Jan 20, 2012
- 275
- 60
Habari zenu wana jf. Naombeni msaada plz, mke wangu hana uwezo wa kunitambua nnapokuwa nimenyegeka, hata nikijaribu kumgusa na kumyegesha ni mkali, mpaka wakat mwingine zinanitoka na kuchafua shuka. Nifanyaje?