Huu niuzi wa ukweli.
Mkewangu Jana tulikwazana na msababishi ni yeye Tena alinikwaza kwelikweli.
Basi asbuhi kaamuka nakutokomea kusikojulikana , nimejaribu kumpigia simu bila mafanikio ,hakuweza kujibu Wala kupokea jumbe.
Hadi saivi hajaja nyumbani nimeambiwa tu yupo kwa Kaka yake nahuyo Kaka yake hatujawai kumuona asee naandika hapa Ila nashindwa nina hasira.
Sijui nifanyeje
Mkewangu Jana tulikwazana na msababishi ni yeye Tena alinikwaza kwelikweli.
Basi asbuhi kaamuka nakutokomea kusikojulikana , nimejaribu kumpigia simu bila mafanikio ,hakuweza kujibu Wala kupokea jumbe.
Hadi saivi hajaja nyumbani nimeambiwa tu yupo kwa Kaka yake nahuyo Kaka yake hatujawai kumuona asee naandika hapa Ila nashindwa nina hasira.
Sijui nifanyeje