Mke wangu hajali familia

Ana umri gani huyo mkeo? kama ni kizazi cha instagramu na fecebook kazi unayo hapo ni wewe mume kuwa mbogo tu na sometime akiwa haelewai kwa kauli zako inabidi na makofi yahusike kidogo maana huyo inaonekana hana hofu na wewe kwa sababu anjua humgombezi, Kung’uta huyo akili imkae sawa
Fuata huu ushauri utakuja kutushukuru humu.👍
 
kipindi nakutana na huyu mama watoto wangu kwanza nilikuwa bado nasoma wakati tayari yeye ana kazi yake. Naweza nikasema alinipenda from the scratch sikuwa na kitu wala muelekeo wa kuwa na kitu(kama ilivyo kwa vijana wengi wa vyuoni),,, baadae akapata ujauzito akajifungua akiwa kwao na akaendelea kukaa kwao, Nilipomaliza chuo nikapata ajira za hapa na pale nikaona sio mbaya nikalipa mahari nimchukue mzazi mwenzangu kwakuwa tumefahamiana kwa muda mrefu na tayari alikuwa na ujauzito wa mtoto wetu wa pili, Kwahyo rasmi nimeanza kuishi nae huu ni mwaka wa pili sasa naishi nae, kwa maadili ya kwao ni mtu alienyooka sana maana nyumbani kwao hawataki mambo ya kipumbavu,,,sasa nashindwa kuelewa hizi tabia anazonioneshea amezipata wapi maana sio mtu wa mitandano na hana marafiki zaidi ya wale aliokuwa anafanya nao kazi enzi hizo ambao anaongea nao tu kwa simu. Routine yake anashinda home mara nyingi from monday to monday, hata akiulizwa mji umekaaje hajui kabisa maana huwa hatoki.
KWAKWELI AM CONFUSED
Mie nahisi kuna kitu kinamsumbua kama vile ana msongo wa mawazo. Ana furaha muda mwingi? Hajawahi kukushirikisha jambo lolote labda ambalo unahisi linaweza kua linamkosesha furaha??
Nasema hivyo maana mie mara nyingi nikiwa na stress nashindwa hata kufanya chochote hata kutoka tu inakua shida ila najitahidi sana kwa mtoto wangu apate mahitaj yote muhimu hata kama nitafanya kwa tabu. Na hali hio hua haichuku muda mrefu .
 
Habari wana JF!

Ebu wadau naombeni ushauri wenu. Nina mke na watoto wawili. Mke wangu ana changamoto moja hataki kupika na pia hajali watoto. Yaani tunaweza kukaa siku mbili tatu tunakula mikate na chai tu. Na yeye ni mama wa nyumbani sio kwamba ana shughuli kivile za kumkwamisha yeye kupika HAPANA.

Nikimwambia kwanini hapiki anadai sijaenda sokoni kununua vitu (asa nawaza si yeye ni jukumu lake kwenda sokoni) maana pesa za biashara tunazofanya ni yeye anashika kwahiyo sio kwamba haendi kwasababu hana pesa.

Kuhusu watoto ndio kabisa hawalishi wala hawaogeshi, na watoto ni wadogo chini ya miaka 5. Yaani watoto wasipojipambania wenyewe kula ndio basi hawali.

Kuna saa nakasirika kinoma lakini nakosa namna. NIFANYEJE
Naomba namba zake
 
Habari wana JF!

Ebu wadau naombeni ushauri wenu. Nina mke na watoto wawili. Mke wangu ana changamoto moja hataki kupika na pia hajali watoto. Yaani tunaweza kukaa siku mbili tatu tunakula mikate na chai tu. Na yeye ni mama wa nyumbani sio kwamba ana shughuli kivile za kumkwamisha yeye kupika HAPANA.

Nikimwambia kwanini hapiki anadai sijaenda sokoni kununua vitu (asa nawaza si yeye ni jukumu lake kwenda sokoni) maana pesa za biashara tunazofanya ni yeye anashika kwahiyo sio kwamba haendi kwasababu hana pesa.

Kuhusu watoto ndio kabisa hawalishi wala hawaogeshi, na watoto ni wadogo chini ya miaka 5. Yaani watoto wasipojipambania wenyewe kula ndio basi hawali.

Kuna saa nakasirika kinoma lakini nakosa namna. NIFANYEJE
Kabla ya kumlaumu tukushauri uangalie afya yake ya akili kwanza.

inawezekana kuna kitu kinamsumbua.

Hamna mama ambaye yuko mentally okay anaweza kuwa hivyo kwa watoto wa kiwazaa kuwazaa.
Au ni wale akili akili zime focus kwa vijora.
Hata hivyo pole mkuu.
 
Huenda kule mwanzo kwenye kupetiana petiana ulimzoesha hivo.

Hata hivo mkuu, hukujua hiyo tabia kabla hujamuoa coz pale kwenye mapenzi moto moto huwa mnafungukiana msivyopenda na mpendavyo kufanyiana ndoani.
 
Habari wana JF!

Ebu wadau naombeni ushauri wenu. Nina mke na watoto wawili. Mke wangu ana changamoto moja hataki kupika na pia hajali watoto. Yaani tunaweza kukaa siku mbili tatu tunakula mikate na chai tu. Na yeye ni mama wa nyumbani sio kwamba ana shughuli kivile za kumkwamisha yeye kupika HAPANA.

Nikimwambia kwanini hapiki anadai sijaenda sokoni kununua vitu (asa nawaza si yeye ni jukumu lake kwenda sokoni) maana pesa za biashara tunazofanya ni yeye anashika kwahiyo sio kwamba haendi kwasababu hana pesa.

Kuhusu watoto ndio kabisa hawalishi wala hawaogeshi, na watoto ni wadogo chini ya miaka 5. Yaani watoto wasipojipambania wenyewe kula ndio basi hawali.

Kuna saa nakasirika kinoma lakini nakosa namna. NIFANYEJE
Kwa kifupi hapo wewe ni mwanamke na yeye ndo mwanaume
 
Daah inasikitisha aiseee mimi navyojali watt wangu natamani daily niwepo niwasevie chakula na mdogo nimlishe mwenyewe..any way hajabadilika tuu?.maana mwaka umeisha sasa.
 
Habari wana JF!

Ebu wadau naombeni ushauri wenu. Nina mke na watoto wawili. Mke wangu ana changamoto moja hataki kupika na pia hajali watoto. Yaani tunaweza kukaa siku mbili tatu tunakula mikate na chai tu. Na yeye ni mama wa nyumbani sio kwamba ana shughuli kivile za kumkwamisha yeye kupika HAPANA.

Nikimwambia kwanini hapiki anadai sijaenda sokoni kununua vitu (asa nawaza si yeye ni jukumu lake kwenda sokoni) maana pesa za biashara tunazofanya ni yeye anashika kwahiyo sio kwamba haendi kwasababu hana pesa.

Kuhusu watoto ndio kabisa hawalishi wala hawaogeshi, na watoto ni wadogo chini ya miaka 5. Yaani watoto wasipojipambania wenyewe kula ndio basi hawali.

Kuna saa nakasirika kinoma lakini nakosa namna. NIFANYEJE
Vipi, tangu muda huo hadi leo, kabadilika?
 
Back
Top Bottom