Mke wangu anatokwa damu wakati wa tendo

Travisy

Senior Member
Nov 6, 2015
175
60
Habari wana jf wenzangu??, heri ya sikukuu ya eid kwa waislamu wenzetu.

Kuna tatizo linanitatiza kidogo kuanzia leo usiku ambalo limempata mke wangu

Mke wangu ni mjamzito wa mwezi mmoja, kuanzia jana kila tukifanya tendo hutokwa na damu kiasi hali ambayo hupelekea uume wangu kutapakaa damu

Nikaona labda atakuwa ana michubuko lakin hana kwasababu ameshajichunguza vya kutosha ukeni, na zaid nikaona labda ni hali ya kawaida tu basi asubuhi ya leo tukafanya tendo ila hali ya damu iko vile vile

Sasa napata mawazo labda ujauzito umeharibika kwaio damu huvuja

Nisaidie juu ya hili tatizo ma doctor wa jf please napata wasi wasi sana

Siku njema
 
Heri ya Idd kwako pia mkuu!! Kwa hali yake huyo shemeji yetu nakushauri uende kituo cha afya kwa ajili ya uchunguzi,.. Nakushauri hivyo maana huyo ni mjamzito hivyo unaweza chukulia tatizo ni dogo kumbe ni complications za uzazi,..au maambukizi yanayohitaji matibabu ya haraka. Usingoje ushauri wa humu nenda kwa wataalamu wa afya ili ujue tatizo mapema umnusuru kiumbe uyo tumboni, vile vile na mama.
 
Heri ya Idd kwako pia mkuu!! Kwa hali yake huyo shemeji yetu nakushauri uende kituo cha afya kwa ajili ya uchunguzi,.. Nakushauri hivyo maana huyo ni mjamzito hivyo unaweza chukulia tatizo ni dogo kumbe ni complications za uzazi,..au maambukizi yanayohitaji matibabu ya haraka. Usingoje ushauri wa humu nenda kwa wataalamu wa afya ili ujue tatizo mapema umnusuru kiumbe uyo tumboni, vile vile na mama.
tosha kabisa
 
Nendeni hospitali Mkuu,alafu uache uongo "eti ameshajichunguza sana ukeni" hayo maeneo anaweza kujichunguza mwenyewe?uache uvivu hebu tafuta tochi mchungulie mkeo vizuri! Pia mambo ya mke wako kuyaleta hapa siyo poa! Hivi kama mkeo yupo hapa JF akiona huu uzi atajisikiaje?
 
Nendeni hospitali Mkuu,alafu uache uongo "eti ameshajichunguza sana ukeni" hayo maeneo anaweza kujichunguza mwenyewe?uache uvivu hebu tafuta tochi mchungulie mkeo vizuri! Pia mambo ya mke wako kuyaleta hapa siyo poa! Hivi kama mkeo yupo hapa JF akiona huu uzi atajisikiaje?
Mkuu kwani hili jukwaa la jf dokta limewekwa kimakosa??, by the way kuna shida gani nikipata ushauri kwa ma dokta wa humu??,, kama wewe hujui wapo wanao jua mkuu

Thanks kwa ushauri wako
 
hebu yeye asimame apanue miguu alafu ulale katikati ya miguu umchungulie kwa juu labda huenda kachubuka wakati mnafanya..hivo pumzika kumfanya ata week mbili..ili apone kwanza...maana kama ni kidonda..kila ukimfanya kinajitonyesha...pia unamwandaaga wakati wa kumla au unampelekea hilo dudu lako tuuuu...maana usipomwandaa anakuwa hana fluid ya kutosha kuruhusu dyudyu kuingia bila friction mwishowe unakuta anachubuka na.midamu mingi inatoka
 
hebu yeye asimame apanue miguu alafu ulale katikati ya miguu umchungulie kwa juu labda huenda kachubuka wakati mnafanya..hivo pumzika kumfanya ata week mbili..ili apone kwanza...maana kama ni kidonda..kila ukimfanya kinajitonyesha...pia unamwandaaga wakati wa kumla au unampelekea hilo dudu lako tuuuu...maana usipomwandaa anakuwa hana fluid ya kutosha kuruhusu dyudyu kuingia bila friction mwishowe unakuta anachubuka na.midamu mingi inatoka
Mkuu kama ni michubuko angekuwa ameshaskia maumivu pale anapojisafisha
 
Mkuu kwani hili jukwaa la jf dokta limewekwa kimakosa??, by the way kuna shida gani nikipata ushauri kwa ma dokta wa humu??,, kama wewe hujui wapo wanao jua mkuu

Thanks kwa ushauri wako
Mkuu mbona hujaiweka thread yako kwenye jukwaa la JF Doctor?
 
Back
Top Bottom