mwalidebe
JF-Expert Member
- Mar 27, 2016
- 425
- 247
Ndugu zangu nawasalimu nyote.
Wiki mbili zilizopita nilikutana na mke wangu kwa tendo la ndoa na tukatumia kondomu kama kinga kuzuia ujauzito.
Toka tulipotumia Kondomu mke wangu anatokwa na majimaji sehemu za siri. Je, wakuu shida inaweza kuwa nini?
Mimi nimekuwa mwaminifu kwake la ningekuwa nimechepuka ningesema labda inawezekana nimemletea ugonjwa lakini hapana sijatoka nje ya ndoa yangu au Kondomu tuliyotumia ilikuwa na shida?
Wiki mbili zilizopita nilikutana na mke wangu kwa tendo la ndoa na tukatumia kondomu kama kinga kuzuia ujauzito.
Toka tulipotumia Kondomu mke wangu anatokwa na majimaji sehemu za siri. Je, wakuu shida inaweza kuwa nini?
Mimi nimekuwa mwaminifu kwake la ningekuwa nimechepuka ningesema labda inawezekana nimemletea ugonjwa lakini hapana sijatoka nje ya ndoa yangu au Kondomu tuliyotumia ilikuwa na shida?