Halafu cha kushangaza bado mods nyuzi kama hizi wanaziacha tu!Huyu nae ni mume wa mtu jamani, uzuri wa housegirl unamchanganya mpaka anakimbilia Jf kuanzisha uzi... Mungu naomba uniepushie mume wa aina hii
Ulisema una mpango wa kuagiza robot.Ingekuwa ni juu yangu ni ama ningepiga marufuku kabisa watu kuajiri hao wadada wasaidizi wa kazi au walau ningerasimisha hiyo ajira ili kuweka mazingira mazuri ya kulinda haki zao.
Kamwe sitokuja kuajiri mdada wa kazi. Kazi zote nazifanya mwenyewe.
Dah!!! Nawewe pia ni jipu mkuu... Usijembaka mtoto wa watu...Yani mke wako amrudishe huyo house girl kwao haraka sana...kuna harufu ya housegirl kua mke mwenzie.Habari wanadimba,
Mke wangu amekuwa akimlalamikia sana housegirl wetu kuwa ni mvivu, wapangaji wanamlalamikia na kadhalika. Sasa anataka kumrudisha kwao. Wasiwasi wangu ni kwamba atakayeletwa asije kuwa ana sura ngumu...maaana mashallah huyu wa sasa mtoto kitu, japo bado dogo dogo na sina mpango nae lakini naenjoy kuwa na kitoto kitamu ndani. Sasa nifanyeje mke wangu asimrudishe kwao?
Asanteni wanadimba.
Haaa haaaa haaaa NimechekaSi umwambie tu mkeo asimrudishe sababu ni mzuri na unamfurahia?
Kesi hioMtie mimba
NakaziaKuwa na baba wa familia wa dizaini hii ni bora ubaki yatima tu....