Mother Confessor
JF-Expert Member
- Jan 7, 2016
- 18,596
- 45,225
Ni hulka yao...hasa mleta uziDuuuh...yaani nazid kupata hedek juu ya wanaume...dah ngumu kumesa. Why mpo hivo et??!
Ni hulka yao...hasa mleta uziDuuuh...yaani nazid kupata hedek juu ya wanaume...dah ngumu kumesa. Why mpo hivo et??!
haha nimecheka xn mkuu....ila hamna.nama atumie tuu hii njia for the best resultJifanye umepandisha mashetani na utoe onyo kwa waifu asije mrudisha lasivyo makubwa yatampata. Ukimaliza zimia wakikupepelea zinduga then zuga umechooka hafu hujui kinachoendelea.
Jey Mo style!!
Kazini ukienda, kuchuna wako anabaki na nani nyumbani?
Halafu ndio hawa wanadai michango ya arusi kuliko deni, ameoa lakini jicho liko kwa msichana wa kazi. Sijui ameoa ili iweje sasa!Hivi ni kwa nini wanandoa mmekuwa wazinzi hivi siku hizi? Ni nini kinachowafanya mshindwe kuwa waaminifu na kushika maagano ya ndo zenu? Kwa ni nini mnaendekeza anasa na tamaa za ulimwengu huu ambazo ni za kupita tu?
atakuja na thread ya kulia ;ia umu kanyimwa unyumba tatizoKafuata kazi, sio kuja kukuonyesha sura. Kama unataka kuona sura nzuri nenda kwenye Beauty Contets
Halafu ndio hawa wanadai michango ya arusi kuliko deni, ameoa lakini jicho liko kwa msichana wa kazi. Sijui ameoa ili iweje sasa!
Tamaa huanza na mimba ikikomaa huzaa mautiHabari wanadimba,
Mke wangu amekuwa akimlalamikia sana housegirl wetu kuwa ni mvivu, wapangaji wanamlalamikia na kadhalika. Sasa anataka kumrudisha kwao. Wasiwasi wangu ni kwamba atakayeletwa asije kuwa ana sura ngumu...maaana mashallah huyu wa sasa mtoto kitu, japo bado dogo dogo na sina mpango nae lakini naenjoy kuwa na kitoto kitamu ndani. Sasa nifanyeje mke wangu asimrudishe kwao?
Asanteni wanadimba.
Sidhani kama anaweza kuwa mume kweli, maana uandishi wake unaonesha ni maigizo tu.Huyu nae ni mume wa mtu jamani, uzuri wa housegirl unamchanganya mpaka anakimbilia Jf kuanzisha uzi... Mungu naomba uniepushie mume wa aina hii
Aisee usijaribu huu ushauri utapigwa na mwikoo upitilizeJifanye umepandisha mashetani na utoe onyo kwa waifu asije mrudisha lasivyo makubwa yatampata. Ukimaliza zimia wakikupepelea zinduga then zuga umechooka hafu hujui kinachoendelea.
Jey Mo style!!
Amwambie "KITI anasema KINDA hakuna ruhusa kurudi kwao, Maana nahodha atayumba"Jifanye umepandisha mashetani na utoe onyo kwa waifu asije mrudisha lasivyo makubwa yatampata. Ukimaliza zimia wakikupepelea zinduga then zuga umechooka hafu hujui kinachoendelea.
Jey Mo style!!