kilimbamula
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 1,792
- 851
Hivi wewe ni ke?Ingekuwa ni juu yangu ni ama ningepiga marufuku kabisa watu kuajiri hao wadada wasaidizi wa kazi au walau ningerasimisha hiyo ajira ili kuweka mazingira mazuri ya kulinda haki zao.
Kamwe sitokuja kuajiri mdada wa kazi. Kazi zote nazifanya mwenyewe.