Mke wangu anataka kula tunda kila siku kutwa mara 2!

3-0????? joking?:confused::confused:
sasaa huyo ukianza kuilaza doro noma,mpigie tizi,kisha siku akirudi job unatandika hiyo kitu mpaka anakimbia chumba,kisha unakula tizi tena unamsubiri kesho yake unapiga gemu lingine kali zaidi ya la jana yake,halafu tizi tena siku moja unalaza kavu inayofuata unakula mzigo ile kinomanoma mpaka mwenyewe anasikia kichefuchefu wiki inayofuata hutasikia akiulizia gemu na ukigusa utaona mwenyewe anaomba mapumziko
 
Heshima mbele wakuu,
Najua humu jamvini hakuna linaloshindikana! Mamsapu siku hizi anataka kula tunda bivu mara 2 kwa siku! Asubuhi tukiamka angalau kamoja na usiku kabla ya kulala angalau kamoja pia! Anadai kwamba inampunguzia 'stress na matamanio' awapo kazini! Hapa nilipo naugulia kiuno kinaniuma ile mbaya na hata naniliu nahisi kama vile inataka kukatika! Je, hali hii ikiendelea inaweza kuniletea madhara kiafya?
Wasiwasi wangu ni hapo kwenye red
 
ahahahaha....ndio inamadhara sana kiafya kwa sababu zifuatazo
1:- usipomla anavyotaka na kiu ikaisha ATALIWA NJE kupooza kiu yake na kisha atapata ngoma na kukuambukiza wewe kisha utakuwa na ngoma then utaishi kwa matumaini plus frasturations kisha utakufa
2:- usipomla ataendelea kupata frustrations na stress kibao kisha ataugua magonjwa makubwa kisha kulazwa hospital na wewe kuingia gharama ambazo utashindwa kuzimudu na kisha utaiba kisha utakamatwa na kufungwa jela ambako mnyapara anaweza kukula kiboga then ukitoka unakuwa bwabwa kisha unaanza kupumuliwa kisha unapata ngoma then unakufa....

TAFAKARI...CHUKUA HATUA
hahahahahah Great Thinkers!!! I like JF! Asante WC
 
Unajua ukiliangalia positiveley wala halikuumizi kwani utalitengenezea mazingira mazuri na wala hutaliona mzigo au kama ratiba! Na ukiona hivyo ujue huenda umekuwa ukimmegea; haumpi kitu kizima eer samahani kama lugha ni kali
 
kuweni rialistic banaa, haya mambo ya magoli matano ni ya teenagers' fantasies.
afadhari uwaambie mkuu! mie kiuno kinauma sio masihara, huyu mama ni mashine ati.....

ningemkung'uta 2.5 asubuhi jioni 3 wiki nyege kwsha kabisa
lol:confused:

siyo lazima teenegers,unakosea sana, mechi nyingi za tenagers lazima mwanamke atatoka kidedea.
kweli!

Pape, unachekesha!! Mbona hiyo ni dozi ya kawaida tu?
Kaka, ni kweli ila huyu anataka kila siku kama panadol vileeeeeeee
 
Dah! ningempata waifu kama wako ningefurahia sana, mwenzio mpaka nianzishe vangi la nguvu home ndio nipewe chakula cha usiku na ukipewa kina kuwa hakina manjonjo, na kushangaa unapolalamika kiuno kinauma ina onekana wewe hiyo shughuli hauimudu vizuri.

Mkuu we ukitoka nje ya ndoa kwa style hii utakuwa huna matatizo maana wanaume wengi wanatoka nje ya ndoa kutokana na kunyiwa chakula cha usiku!
uchokozi huo. unaanzishaje vangi??
 
huyo mkeo Pape kiboko...ameshaondoa vile viatu pale kwenye seat ya mbele?
Kweli umekumbusha jambo zuri. Naona mkewe ameshamshtukia huyu jamaa kuwa anapiga nje mana hivi visa vyake vyote ni vya kumkomoa
 
Kweli umekumbusha jambo zuri. Naona mkewe ameshamshtukia huyu jamaa kuwa anapiga nje mana hivi visa vyake vyote ni vya kumkomoa
Naona ameniwekea ngumu, namimi ngoja nitafute mitoko mipya! Jino kwa jino tu!
 
Pape, wewe umebarikiwa sana. Wenzio wanalia hapa kwamba wanapewa kwa kijiko mara moja kwa wiki. Usifikirie madhara jiulize kwa nini hatosheki?

Ninavyohisi hicho kimoja asubuhi au jioni haumpeleki akafika. Usikimbilie kufunga goli haraka haraka bali jaribu kum***zea ujue ni wapi panampeleka basi uende nae mpaka apate magoli kadhaa ndipo uguse iuno chako. Usishangae hata hizo stress zake zikaisha na asubuhi asikuguse na wala kesho yake.

Inawezekana kwa kutomfikisha amekua kama wale watoto wa girls chools za boarding wanapoanza kucheka hovyo.
 
Pape, wewe umebarikiwa sana. Wenzio wanalia hapa kwamba wanapewa kwa kijiko mara moja kwa wiki. Usifikirie madhara jiulize kwa nini hatosheki?

Ninavyohisi hicho kimoja asubuhi au jioni haumpeleki akafika. Usikimbilie kufunga goli haraka haraka bali jaribu kum***zea ujue ni wapi panampeleka basi uende nae mpaka apate magoli kadhaa ndipo uguse iuno chako. Usishangae hata hizo stress zake zikaisha na asubuhi asikuguse na wala kesho yake.

Inawezekana kwa kutomfikisha amekua kama wale watoto wa girls chools za boarding wanapoanza kucheka hovyo.
hili linaukweli....
 
Fanyia kazi basiiii, si unaona jamaa wanaanza kuomba namba yake ya simu. Chelewa chelewa utakuta mwana si wako.
Nimeona kuna jamaa yaani hawana aibu eti wanaomba address kabisaaaa....PM zimemiminika usipime......
 
Heshima mbele wakuu,
Najua humu jamvini hakuna linaloshindikana! Mamsapu siku hizi anataka kula tunda bivu mara 2 kwa siku! Asubuhi tukiamka angalau kamoja na usiku kabla ya kulala angalau kamoja pia! Anadai kwamba inampunguzia 'stress na matamanio' awapo kazini! Hapa nilipo naugulia kiuno kinaniuma ile mbaya na hata naniliu nahisi kama vile inataka kukatika! Je, hali hii ikiendelea inaweza kuniletea madhara kiafya?

ANGALIZO: Habari za mkeo kutaka bao mara kwa mara au wakati mwingine kukuambia uvae chupi zake zinaweza kuwa zinawakwaza baadhi ya watu na wengine kuwapa matamanio ya ngono zembe!
 
mi nampemnda huyo mkeo hivi unataka amwombe nani pengine oficin kuna wakware wanataka mambo anahisi kama hatatamani.kwa kawaida sisi wadada ndo tunalalamika kumbe hata nyinyi mpo.kula viiiiiiiiittttttttttuuuuuuuuzzzzzziiiiii baba.naipenda hiyo hasa upate na picha za MARIA ROZA huchoki mwanangu galauka baba ulizaliwa mwanaume muulize (TX WILIUM)kaimba
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom