KAHIMERIA
JF-Expert Member
- Jan 1, 2021
- 293
- 351
- Thread starter
- #21
Hilo tatizo nalo lipo dadaMwambie mke wako atatue tatizo la m'ba kichwani kabla hajaanza kuangaikia tatizo la chunusi..
Akimaliza kutatua tatizo la m'ba kichwani automatically chunusi zinaisha zenyewe..
Sent using Jamii Forums mobile app