Je, Iinafaa kwa Mwenye ngozi ya Mafuta?? Hasa usoni??Wafollow Instagram @gnice_solutions
I'll Mimi binafsi nimetumia cream ya WiX Ni nzuri Sana... 40,000. Inauzwa
Aiseee...jaribu wix...hi cream Sio Kwamba inatrend mitandaoni....Ni nzuri kweli...yaani ninhekuwa na hela ningenunua na sabuni na serum...Je, Iinafaa kwa Mwenye ngozi ya Mafuta?? Hasa usoni??
Hujanijibu Nilichouliza. SadAiseee...jaribu wix...hi cream Sio Kwamba inatrend mitandaoni....Ni nzuri kweli...yaani ninhekuwa na hela ningenunua na sabuni na serum...
Ni nzuri sanaaa mydear
Nimekwambia kwa upande Wangu...MimiHujanijibu Nilichouliza. Sad
Kuminya chunusi ndio hasa mchezo wakeNinavyopenda vitu natural!
Mwambie atengeneze scrub ya kahawa
Aweke magadi kidogo na mafuta ya nazi,anaweza kuongeza na sukari/chumvi
Mwambie apake powder ya ponds
Pia mwambie asiminye chunusi
Ubarikiwe SanaHabari, Alex Milanzi
Tafuta Sulphur Powder, tumia kijiko kimoja cha chai/chakula/kula katika mchanganyo wa mafuta au lotion | 200g isiyokuwa na kemikali wala viambata sumu.
Kutokana na matokeo ya wengi nakushauri tumia Lotion za Body Luxe au Goldy zinazotengenezwa na Tanga Pharmaceutical & Plastics Ltd. Kupitia hii lotion changanya mchanganyo wako wa Sulphur Powder kijiko kimoja, na robo kijiko cha Mdarasini.
Hakikisha wakati wa mchanganyo unatumia kijiko au kitu chenye asili ya urefu (Usitumie Vidole). Matumizi zingatia kupakaa maeneo yenye shida husika au hitilafu, ukikupendeza pakaa mwili mzima.
Je! Upakae muda gani? | Nashauri muda mzuri ni uliokuwa huru kwa mhusika hasa muda unaokuwa nyumbani au familiar places. Sababu Kuu ni harufu au hali ya kukera baada ya mchanganyo huu kuwa katika mwili na kuhusishwa na joto au hali ya jasho. (Sio kwa Wote)
Je! Ufanye nini? | Hakikisha baada ya masaa 8 Hadi 10 unaosha mwili wako au sehemu uliyopakaa dawa hii (Ikipendeza tumia maji ya uvuguvugu).
Je! Faida zake ni zipi? | Faida kuu ya dawa hii ni kupambana vilivyo na chunusi na magonjwa mbalimbali ya ngozi. Utumiapo dawa hii utaondosha chunusi, upele, maonesho ya mabaka yaliyobaki baada ya maradhi ya ngozi. Itakuacha na ASILI yako (Skin Tone), utakuwa nyororo na ngozi yenye muangaza.
Zingatia! Matumizi ya dawa na hakikisha mhusika anakunywa maji ya kutosha na kupata wasaa mzuri wa kupumzika.
-
Nimeshiriki katika tafiti mbalimbali ziliyohusisha tiba ya chunusi na maradhi ya ngozi. Binafsi na katika watu 346 waliotumia dawa hii, 339 wamepona kabisa tatizo la chunusi, ni 7 tu ndio ulionyesha matokeo tofauti.
Sulphur powder ndio kibiriti upele????Habari, Alex Milanzi
Tafuta Sulphur Powder, tumia kijiko kimoja cha chai/chakula/kula katika mchanganyo wa mafuta au lotion | 200g isiyokuwa na kemikali wala viambata sumu.
Kutokana na matokeo ya wengi nakushauri tumia Lotion za Body Luxe au Goldy zinazotengenezwa na Tanga Pharmaceutical & Plastics Ltd. Kupitia hii lotion changanya mchanganyo wako wa Sulphur Powder kijiko kimoja, na robo kijiko cha Mdarasini.
Hakikisha wakati wa mchanganyo unatumia kijiko au kitu chenye asili ya urefu (Usitumie Vidole). Matumizi zingatia kupakaa maeneo yenye shida husika au hitilafu, ukikupendeza pakaa mwili mzima.
Je! Upakae muda gani? | Nashauri muda mzuri ni uliokuwa huru kwa mhusika hasa muda unaokuwa nyumbani au familiar places. Sababu Kuu ni harufu au hali ya kukera baada ya mchanganyo huu kuwa katika mwili na kuhusishwa na joto au hali ya jasho. (Sio kwa Wote)
Je! Ufanye nini? | Hakikisha baada ya masaa 8 Hadi 10 unaosha mwili wako au sehemu uliyopakaa dawa hii (Ikipendeza tumia maji ya uvuguvugu).
Je! Faida zake ni zipi? | Faida kuu ya dawa hii ni kupambana vilivyo na chunusi na magonjwa mbalimbali ya ngozi. Utumiapo dawa hii utaondosha chunusi, upele, maonesho ya mabaka yaliyobaki baada ya maradhi ya ngozi. Itakuacha na ASILI yako (Skin Tone), utakuwa nyororo na ngozi yenye muangaza.
Zingatia! Matumizi ya dawa na hakikisha mhusika anakunywa maji ya kutosha na kupata wasaa mzuri wa kupumzika.
-
Nimeshiriki katika tafiti mbalimbali ziliyohusisha tiba ya chunusi na maradhi ya ngozi. Binafsi na katika watu 346 waliotumia dawa hii, 339 wamepona kabisa tatizo la chunusi, ni 7 tu ndio ulionyesha matokeo tofauti.
Habarini Wana Jf
Mke wangu anasumbuliwa na chunusi za uso zisizoisha ametumia lotion nyingi bila mafanikio naomba mnishauri atumie nini?