Mke wangu anasumbuliwa na chunusi za uso

Je, Iinafaa kwa Mwenye ngozi ya Mafuta?? Hasa usoni??
Aiseee...jaribu wix...hi cream Sio Kwamba inatrend mitandaoni....Ni nzuri kweli...yaani ninhekuwa na hela ningenunua na sabuni na serum...
Ni nzuri sanaaa mydear
 
Habari, Alex Milanzi

Tafuta Sulphur Powder, tumia kijiko kimoja cha chai/chakula/kula katika mchanganyo wa mafuta au lotion | 200g isiyokuwa na kemikali wala viambata sumu.

Kutokana na matokeo ya wengi nakushauri tumia Lotion za Body Luxe® au Goldy® zinazotengenezwa na Tanga Pharmaceutical & Plastics Ltd. Kupitia hii lotion changanya mchanganyo wako wa Sulphur Powder kijiko kimoja, na robo kijiko cha Mdarasini.

Hakikisha wakati wa mchanganyo unatumia kijiko au kitu chenye asili ya urefu (Usitumie Vidole). Matumizi zingatia kupakaa maeneo yenye shida husika au hitilafu, ukikupendeza pakaa mwili mzima.

Je! Upakae muda gani? | Nashauri muda mzuri ni uliokuwa huru kwa mhusika hasa muda unaokuwa nyumbani au familiar places. Sababu Kuu ni harufu au hali ya kukera baada ya mchanganyo huu kuwa katika mwili na kuhusishwa na joto au hali ya jasho. (Sio kwa Wote)

Je! Ufanye nini? | Hakikisha baada ya masaa 8 Hadi 10 unaosha mwili wako au sehemu uliyopakaa dawa hii (Ikipendeza tumia maji ya uvuguvugu).

Je! Faida zake ni zipi? | Faida kuu ya dawa hii ni kupambana vilivyo na chunusi na magonjwa mbalimbali ya ngozi. Utumiapo dawa hii utaondosha chunusi, upele, maonesho ya mabaka yaliyobaki baada ya maradhi ya ngozi. Itakuacha na ASILI yako (Skin Tone), utakuwa nyororo na ngozi yenye muangaza.

Zingatia! Matumizi ya dawa na hakikisha mhusika anakunywa maji ya kutosha na kupata wasaa mzuri wa kupumzika.
-
Nimeshiriki katika tafiti mbalimbali ziliyohusisha tiba ya chunusi na maradhi ya ngozi. Binafsi na katika watu 346 waliotumia dawa hii, 339 wamepona kabisa tatizo la chunusi, ni 7 tu ndio ulionyesha matokeo tofauti.
 
Habari, Alex Milanzi

Tafuta Sulphur Powder, tumia kijiko kimoja cha chai/chakula/kula katika mchanganyo wa mafuta au lotion | 200g isiyokuwa na kemikali wala viambata sumu.

Kutokana na matokeo ya wengi nakushauri tumia Lotion za Body Luxe au Goldy zinazotengenezwa na Tanga Pharmaceutical & Plastics Ltd. Kupitia hii lotion changanya mchanganyo wako wa Sulphur Powder kijiko kimoja, na robo kijiko cha Mdarasini.

Hakikisha wakati wa mchanganyo unatumia kijiko au kitu chenye asili ya urefu (Usitumie Vidole). Matumizi zingatia kupakaa maeneo yenye shida husika au hitilafu, ukikupendeza pakaa mwili mzima.

Je! Upakae muda gani? | Nashauri muda mzuri ni uliokuwa huru kwa mhusika hasa muda unaokuwa nyumbani au familiar places. Sababu Kuu ni harufu au hali ya kukera baada ya mchanganyo huu kuwa katika mwili na kuhusishwa na joto au hali ya jasho. (Sio kwa Wote)

Je! Ufanye nini? | Hakikisha baada ya masaa 8 Hadi 10 unaosha mwili wako au sehemu uliyopakaa dawa hii (Ikipendeza tumia maji ya uvuguvugu).

Je! Faida zake ni zipi? | Faida kuu ya dawa hii ni kupambana vilivyo na chunusi na magonjwa mbalimbali ya ngozi. Utumiapo dawa hii utaondosha chunusi, upele, maonesho ya mabaka yaliyobaki baada ya maradhi ya ngozi. Itakuacha na ASILI yako (Skin Tone), utakuwa nyororo na ngozi yenye muangaza.

Zingatia! Matumizi ya dawa na hakikisha mhusika anakunywa maji ya kutosha na kupata wasaa mzuri wa kupumzika.
-
Nimeshiriki katika tafiti mbalimbali ziliyohusisha tiba ya chunusi na maradhi ya ngozi. Binafsi na katika watu 346 waliotumia dawa hii, 339 wamepona kabisa tatizo la chunusi, ni 7 tu ndio ulionyesha matokeo tofauti.
Ubarikiwe Sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari, Alex Milanzi

Tafuta Sulphur Powder, tumia kijiko kimoja cha chai/chakula/kula katika mchanganyo wa mafuta au lotion | 200g isiyokuwa na kemikali wala viambata sumu.

Kutokana na matokeo ya wengi nakushauri tumia Lotion za Body Luxe au Goldy zinazotengenezwa na Tanga Pharmaceutical & Plastics Ltd. Kupitia hii lotion changanya mchanganyo wako wa Sulphur Powder kijiko kimoja, na robo kijiko cha Mdarasini.

Hakikisha wakati wa mchanganyo unatumia kijiko au kitu chenye asili ya urefu (Usitumie Vidole). Matumizi zingatia kupakaa maeneo yenye shida husika au hitilafu, ukikupendeza pakaa mwili mzima.

Je! Upakae muda gani? | Nashauri muda mzuri ni uliokuwa huru kwa mhusika hasa muda unaokuwa nyumbani au familiar places. Sababu Kuu ni harufu au hali ya kukera baada ya mchanganyo huu kuwa katika mwili na kuhusishwa na joto au hali ya jasho. (Sio kwa Wote)

Je! Ufanye nini? | Hakikisha baada ya masaa 8 Hadi 10 unaosha mwili wako au sehemu uliyopakaa dawa hii (Ikipendeza tumia maji ya uvuguvugu).

Je! Faida zake ni zipi? | Faida kuu ya dawa hii ni kupambana vilivyo na chunusi na magonjwa mbalimbali ya ngozi. Utumiapo dawa hii utaondosha chunusi, upele, maonesho ya mabaka yaliyobaki baada ya maradhi ya ngozi. Itakuacha na ASILI yako (Skin Tone), utakuwa nyororo na ngozi yenye muangaza.

Zingatia! Matumizi ya dawa na hakikisha mhusika anakunywa maji ya kutosha na kupata wasaa mzuri wa kupumzika.
-
Nimeshiriki katika tafiti mbalimbali ziliyohusisha tiba ya chunusi na maradhi ya ngozi. Binafsi na katika watu 346 waliotumia dawa hii, 339 wamepona kabisa tatizo la chunusi, ni 7 tu ndio ulionyesha matokeo tofauti.
Sulphur powder ndio kibiriti upele????
 
Boss, kuna vitu vingi vinasababisha chunusi. Inawezekana kuna kitu huwa anakula na kinasababisha chunusi au inawezekana ni fungus. Ohh yes fungus.

Nakushauri ununue ketaconazole shampoo. Aoshe nywele na uso wake kila siku asubuhi na jioni. Atleast akishapaka akae kama dakika 15 ndiyo asuuze.

Check maendeleo baada ya wiki moja. Baada ya kutumia wiki moja nzima awe anaitumia kila wiki mara moja.

Kama zitakuwa hajizatoka, basi nenda next step kujua kisababishi ni nini.
Habarini Wana Jf

Mke wangu anasumbuliwa na chunusi za uso zisizoisha ametumia lotion nyingi bila mafanikio naomba mnishauri atumie nini?
 
Back
Top Bottom