Baba Loveness
Member
- Sep 24, 2014
- 6
- 69
Wakuu ni najamaa yangu yupo kwenye wakati mgumu sana .kwani amekuwa akimrekebisha mke wake pale anapo kosea lakini mke wake anamtuma akatafute anae endana nae sasa haelewi afanye uamuzi gani kwani bado anampenda sana mke wake
Ameomba ni mshauri cha kufanya ni memwambia atoke nje ya ndoa ndiyo mkewe atashika adabu kwani dawa ya mwanamke mgomvi ni mwanamke mwenzake ..ati hapo nipo sahihi kwa ushauri nilio mpa
Ameomba ni mshauri cha kufanya ni memwambia atoke nje ya ndoa ndiyo mkewe atashika adabu kwani dawa ya mwanamke mgomvi ni mwanamke mwenzake ..ati hapo nipo sahihi kwa ushauri nilio mpa