Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 30,778
- 59,133
Ndugu yangu ni mapenzi tu hata wewe unaweza kumjengea mwanamke
Sasa kama ni mapenzi unalalamika nini?Endelea kupenda.
Ndugu yangu ni mapenzi tu hata wewe unaweza kumjengea mwanamke
Wana JF...
Naandika huku nafsi yangu ikiwa na majonzi makubwa.
Mke wangu wa ndoa tuna miaka 8 toka tufunge ndoa, tumejaliwa kupata watoto 2 mapacha wa kiume na kike.
Lakini taingia mwaka juzi kabadilika kaanza vituko nyumbani, sio kawaida yake ananipiga na vitu bila sababu.
Kaenda mbali zaidi ananiambia lazima nikitoka kazini niwahi kufika nyumbani nikae na watoto yeye yupo bize..
Kanilizimisha nimjengee nyumba kwao Same nimemjengea nyumba kubwa tu lakini hana shukurani..
Tendo la ndoa napewa mara moja kwa mwezi nikihoji napigwa na mwiko..
Kila baada ya wiki anasema anasafiri anakwenda kwenye semina nibaki na watoto.
Ndugu zangu nisaidieni nifanyeje??
Kupigwa?? Nawe umetulia tu??? Halafu unamuita mke kabisa?? Aah salalaaa......! Uliumbwa nae huyo mkiwa mmewekewa supa glue hata uvumilie mateso yote hayo?? Wan'chekesha!!!!
ulishamnjengea mazingira ya kutoweza kumpiga hadi yeye anaamua kukupiga
simama kama mwanamume uone atafanyaje,order nyingi anza kumpa wewe,then ona utafanyaje
wewe ni she au he? Maana siku hizi kuna ndoa za lesbians na gays!
Nifahamishe kabla sijakupa ushauri.
unauliza swali gani wakati nimekwambia mke wangu? Au wewe ni moja wao hao gays? Siitaji ushauri kutoka kwa watu kama nyie
Jamani mke wangu amerudi kalewa akiniona naandika humu JF ataleta fujo kesho ndugu zangu nashukuru sana kwa ushauri wenu
haya yameanza mwaka juzi..?? mda wote huo ulishawahi chukua hatua yoyote hata ya kuongea na watu wakaribu mnaowaheshimu...!!?Wana JF...
Naandika huku nafsi yangu ikiwa na majonzi makubwa.
Mke wangu wa ndoa tuna miaka 8 toka tufunge ndoa, tumejaliwa kupata watoto 2 mapacha wa kiume na kike.
Lakini taingia mwaka juzi kabadilika kaanza vituko nyumbani, sio kawaida yake ananipiga na vitu bila sababu.
Kaenda mbali zaidi ananiambia lazima nikitoka kazini niwahi kufika nyumbani nikae na watoto yeye yupo bize..
Kanilizimisha nimjengee nyumba kwao Same nimemjengea nyumba kubwa tu lakini hana shukurani..
Tendo la ndoa napewa mara moja kwa mwezi nikihoji napigwa na mwiko..
Kila baada ya wiki anasema anasafiri anakwenda kwenye semina nibaki na watoto.
Ndugu zangu nisaidieni nifanyeje??
Ahahahahaah!!! Huu ni utani jamani!
Hakuna limbwata mtu akawekewa then akajijua kuwa ananyanyaswa,huyu jamaa kaamua kuwa na maisha ya kunyanyaswa, km hataki ampe kipigo siku moja aone km hyo dada hajabadilika. Anamwendekeza tu na kutudhalilisha wanaume,hivi kuna mwanaume anaeweza kunyanyasika kwa kiwango hiki hata km kuna limbwata????? mh kazi ipo................Hivi ni kweli kuna limbwata ya kumfanya mtu kuwa mume *****?? Kama ndio basi huyu ni mwathirika...duh pole mkuu
Unauliza swali gani wakati nimekwambia mke wangu? Au wewe ni moja wao hao gays? Siitaji ushauri kutoka kwa watu kama nyie
Mi nlishastuka toka mwanzo