Mke wangu ananilazimisha nimuombe msamaha mbele ya Kanisa

The golden

JF-Expert Member
Sep 11, 2018
1,381
2,553
Wakuu nawasalimu,

Niko katika hali hii kwa sasa.

Ni kweli nilimkosea mke wangu. Nilifanya dhambi kama binadamu wengine wafanyavyo dhambi. Nimejutia kosa langu na nikaamua kumuomba msamaha mke wangu ili maisha yaendelee.

Jambo la kushangaza ni kuwa mke wangu huyu wa ujanani amekataa kunisamehe. ametoa mashariti kadhaa ili niweze kupata msamaha wake. Mashariti hayo ni haya.

1. Jumapili hii twende kanisani nikaombe msamaha mbele ya kanisa.

2. Turekodi mkanda wa video ili hata watu wengine ambao hawatakuwepo kanisani waweze kuona tukio hilo hapo badae.

3. Amesema pia nikiwa namuomba msahama mbele ya kanisa nimuite mama na wala siyo mke huku nikiwa nimepiga magoti.

Wakuu, nimefikiri sana swala hili. Nia hasa ya mke wangu ni nini. Hivi ndivyo msamaha unavyoobwa?

Nimejiuliza tena kwani atapungukiwa nini kama atanisamehe tukiwa wawili tu bila kamera?

Nilichopanga ni hiki , nataka kugoma kufanya kitendo hiki. Ninagoma kwa sababu nataka kulinda utu wangu. Kufanya dhambi au kumkosea mke wangu hakuondoi utu wangu hata kidogo.

Siko tayari kuuza utu wangu kwa gharama ya kulinda ndoa. Utu huwekwa na Mungu ndani ya mtu. Kuuza utu wako kwa mtu ni kumfanya mtu huyo kuchukua nafasi ya Mungu katika maisha yako. Siko tayari.

Msamaha una misingi yake. Moja ya misingi hiyo ni kulindiana heshima.Msahama ni upendo .Upendo haudhalilishi wengine.

Kama ndoa ni ndoano , basi ndoano hii haitaninasa.
 
Majibu unayo alafu bado unasema upo njia panda !!!

Kaka zetu mnatufundisha nini yani uende kanisani ukaombe msamaha huyo mwanamke anatoa wapi jeuri na kibri cha kukupa condition hizo..

Amekuzidi umri japo unasema wa ujanani
Amekuzidi kipato japo unasema wa ujanani
Amekuzidi nini haswa ??
Je wewe ni mlemavu mke wako anakuhudumia ??
Una matatizo ya kiafya ??

Umuite mama yeye ndio alikunyonyesha ??mke wako ni mkristo mwambie biblia gani inasema tuwaite wake zetu Mama..
 
Msimamo wako na uwe huo huo mkuu,

umeshamuomba msamaha yeye kama yeye, na bila shaka ulimkosea yeye kama yeye!
Sasa inakuaje tena ukaombe msamaha mbele ya kanisa?
Tena eti na mkanda wa video uchukuliwe.

Aise mliooa walokole kazi mnayo.
Mimi akinitamkia huo upuzi eti nikapige magoti mbele ya kanisa na huku narekodiwa, nitamnasa kibao huyo.
Kumuomba msamaha tu umempatia heshima, yake inatosha.
 
Alifanya dhambi gani huyo mpk akupe sharti la namna hiyo? Kama umeamua kuja hapa hebu weka hilo kosa hapa unaloliita dhambi!

Nakushauri usikubali, unajua hilo ni kanisa la kiroho ndilo linatoa nafasi kama hiyo, mkeo anataka kukudhalilisha na pia aonekane mbele za washirika kwamba amekuweza? So usijaribu huo ujinga, wewe ni mwanaume linda uanaume wako!? Ndio maana ataka mrecord ili aibu hiyo usiweze kuifuta, kwanini anataka watu wengine waje kuona? Kwa masharti hayo mm mke wng angekuwa ameshindwa ndoa!

Je alifanya hiyo dhambi hadharani? Je mlimgegeda mshirika ukamtia mimba? Au umemtia mimba Mdogo wake? Acha ufala wewe komaa mmalizane ndani!
 
Msimamo wako na uwe huo huo mkuu, umeshamuomba msamaha yeye kama yeye, na bila shaka ulimkosea yeye kama yeye! Sasa inakuaje tena ukaombe msamaha mbile ya kanisa? Tena eti na mkanda wa video uchukuliwe. Aise mliooa walokole kazi mnayo. Mimi akinitamkia huo upuzi eti nikapige magoti mbele ya kanisa na huku narekodiwa, nitamnasa kibao huyo. Kumuomba msamaha tu umempatia heshima, yake inatosha.
Haaa haaa haaa! Huyo mama anataka kumdharirisha jamaa!
 
Majibu unayo alafu bado unasema upo njia panda !!!

Kaka zetu mnatufundisha nini yani uende kanisani ukaombe msamaha huyo mwanamke anatoa wapi jeuri na kibri cha kukupa condition hizo..

Amekuzidi umri japo unasema wa ujanani
Amekuzidi kipato japo unasema wa ujanani
Amekuzidi nini haswa ??
Je wewe ni mlemavu mke wako anakuhudumia ??
Una matatizo ya kiafya ??

Umuite mama yeye ndio alikunyonyesha ??mke wako ni mkristo mwambie biblia gani inasema tuwaite wake zetu Mama..


Nyoko we
Haaaa, haaaa, mbona umepaniki sana tatizo ni nini?
 
Kwanza kabisa lazima ujue lengo lake huyo mke si kuombwa msamaha, lengo lake kuu ni kukudhalilisha.
Pili ukikubali kufanya hivyo, jua kabisa tayari ameshakupanda kichwani na atakudharau kuanzia siku hio.

ulitenda kosa gani mkuu?
Aise hilo kosa la kuombwa kanisani ni hatari?
 
Usijarbu tekeleza hilo la mbele ya kanisa ni mkeo na unampenda sana, ukfanya hvo usije shangaa sku zjazo ukapata mume mwenzio humo humo kanisani awe mchunga kondoo wa Bwana au Muumini mwenzenu

Npo hapa naptia nakala yangu ya gazeti The Sunday Observer, kikombe changu ntakinywea ila si kiivyo
 
Wakuu nawasalimu,

Niko katika hali kwa sasa.

Ni kweli nilimkosea mke wangu. Nilifanya dhambi kama binadamu wengine wafanyavyo dhambi. Nimejutia kosa langu na nikaamua kumuomba msamaha mke wangu ili maisha yaendelee.

Jambo la kushangaza ni kuwa mke wangu huyu wa ujanani amekataa kunisamehe. Umetoa mashariti kadhaa ili niweze kupata msamaha wake. Mashariti hayo ni haya.

1. Jumapili hii twende kanisani nikaombe msamaha mbele ya kanisa.

2. Turekodi mkanda wa video ili hata watu wengine ambao hawatakuwepo kanisani waweze kuona tukio hilo hapo badae.

3. Amesema pia nikiwa namuomba msahama mbele ya kanisa nimuite mama na wala siyo mke huku nikiwa nimepiga magoti.

Wakuu, nimefikiri sana swala hili. Nia hasa ya mke wangu ni nini. Hivi ndivyo msamaha unavyoobwa?

Nimejiuliza tena kwani atapungukiwa nini kama atanisamehe tukiwa wawili tu bila kamera?

Nilichopanga ni hiki , nataka kugoma kufanya kitendo hiki. Ninagoma kwa sababu nataka kulinda utu wangu. Kufanya dhambi au kumkosea mke wangu hakuondoi utu wangu hata kidogo.

Siko tayari kuuza utu wangu kwa gharama ya kulinda ndoa. Utu huwekwa na Mungu ndani ya mtu. Kuuza utu wako kwa mtu ni kumfanya mtu huyo kuchukua nafasi ya Mungu katika maisha yako. Siko tayari.

Msamaha una misingi yake. Moja ya misingi hiyo ni kulindiana heshima.Msahama ni upendo .Upendo haudhalilishi wengine.

Kama ndoa ni ndoano , basi ndoano hii haitaninasa.
Kuna vitu viwili..

Kupiga magoti.

Kumuita mama.

Ukifanya huu upuuzi utakua MPUMBAVU.
 
Wakuu nawasalimu,

Niko katika hali kwa sasa.

Ni kweli nilimkosea mke wangu. Nilifanya dhambi kama binadamu wengine wafanyavyo dhambi. Nimejutia kosa langu na nikaamua kumuomba msamaha mke wangu ili maisha yaendelee.

Jambo la kushangaza ni kuwa mke wangu huyu wa ujanani amekataa kunisamehe. Umetoa mashariti kadhaa ili niweze kupata msamaha wake. Mashariti hayo ni haya.

1. Jumapili hii twende kanisani nikaombe msamaha mbele ya kanisa.

2. Turekodi mkanda wa video ili hata watu wengine ambao hawatakuwepo kanisani waweze kuona tukio hilo hapo badae.

3. Amesema pia nikiwa namuomba msahama mbele ya kanisa nimuite mama na wala siyo mke huku nikiwa nimepiga magoti.

Wakuu, nimefikiri sana swala hili. Nia hasa ya mke wangu ni nini. Hivi ndivyo msamaha unavyoobwa?

Nimejiuliza tena kwani atapungukiwa nini kama atanisamehe tukiwa wawili tu bila kamera?

Nilichopanga ni hiki , nataka kugoma kufanya kitendo hiki. Ninagoma kwa sababu nataka kulinda utu wangu. Kufanya dhambi au kumkosea mke wangu hakuondoi utu wangu hata kidogo.

Siko tayari kuuza utu wangu kwa gharama ya kulinda ndoa. Utu huwekwa na Mungu ndani ya mtu. Kuuza utu wako kwa mtu ni kumfanya mtu huyo kuchukua nafasi ya Mungu katika maisha yako. Siko tayari.

Msamaha una misingi yake. Moja ya misingi hiyo ni kulindiana heshima.Msahama ni upendo .Upendo haudhalilishi wengine.

Kama ndoa ni ndoano , basi ndoano hii haitaninasa.
Dah huyo Mwanamke ana mpango wa kukudharirisha so kuwa makini
 
Wakuu nawasalimu,

Niko katika hali kwa sasa.

Ni kweli nilimkosea mke wangu. Nilifanya dhambi kama binadamu wengine wafanyavyo dhambi. Nimejutia kosa langu na nikaamua kumuomba msamaha mke wangu ili maisha yaendelee.

Jambo la kushangaza ni kuwa mke wangu huyu wa ujanani amekataa kunisamehe. Umetoa mashariti kadhaa ili niweze kupata msamaha wake. Mashariti hayo ni haya.

1. Jumapili hii twende kanisani nikaombe msamaha mbele ya kanisa.

2. Turekodi mkanda wa video ili hata watu wengine ambao hawatakuwepo kanisani waweze kuona tukio hilo hapo badae.

3. Amesema pia nikiwa namuomba msahama mbele ya kanisa nimuite mama na wala siyo mke huku nikiwa nimepiga magoti.

Wakuu, nimefikiri sana swala hili. Nia hasa ya mke wangu ni nini. Hivi ndivyo msamaha unavyoobwa?

Nimejiuliza tena kwani atapungukiwa nini kama atanisamehe tukiwa wawili tu bila kamera?

Nilichopanga ni hiki , nataka kugoma kufanya kitendo hiki. Ninagoma kwa sababu nataka kulinda utu wangu. Kufanya dhambi au kumkosea mke wangu hakuondoi utu wangu hata kidogo.

Siko tayari kuuza utu wangu kwa gharama ya kulinda ndoa. Utu huwekwa na Mungu ndani ya mtu. Kuuza utu wako kwa mtu ni kumfanya mtu huyo kuchukua nafasi ya Mungu katika maisha yako. Siko tayari.

Msamaha una misingi yake. Moja ya misingi hiyo ni kulindiana heshima.Msahama ni upendo .Upendo haudhalilishi wengine.

Kama ndoa ni ndoano , basi ndoano hii haitaninasa.
twende church mimi nitakusaidia kupiga magoti
 
Usijarbu tekeleza hilo la mbele ya kanisa ni mkeo na unampenda sana, ukfanya hvo usije shangaa sku zjazo ukapata mume mwenzio humo humo kanisani awe mchunga kondoo wa Bwana au Muumini mwenzenu

Npo hapa naptia nakala yangu ya gazeti The Sunday Observer, kikombe changu ntakinywea ila si kiivyo
Mkuu siko tayari , kama ni fursa acha nikose tu.
 
Back
Top Bottom