Hivi wakuu, mke wangu kulia sana mpaka majirani wanatoka kutusikiliza usiku nifanyeje yani analia sana. Anakuwa kama namjeruhi vile hata sielewi kabisa.
Mpaka mizuka huwa inaniishia kabisa natamani kushuka halafu nikishuka anaanza kucheka sasa unakaa unajiuliza naumivu gani hayo wakati muda huohuo anacheka muda huohuo analia.
Ushauri wenu wakuu maana napata aibu kweli asubuhi ninapokuwa natoka nje kwenda job watu wakiwa wamekaa nje.
Unaibiwa! Na anakuzuga tu ! Fanya utafiti utagundua . Usije kuta kuna jirani anakutafunia kwa hiyo huko kupiga kelele ni mawasiliano..