cartura
JF-Expert Member
- Aug 13, 2009
- 3,026
- 788
Yuko jf anani_PM
mara kwa mara yaani mpaka ananikera
mvunjie ukimya....
Yuko jf anani_PM
mara kwa mara yaani mpaka ananikera
Hili nalo neno......
Mleta mada natumaini umesikia hili....
King'ast hapo kwenye Red nimepapenda, hapo kwenye bluu naamini tayari ameshawapa kwa nini akajificha chumbani kama hakuna kitu kati yao?! mjomba mlete mada, huyu angekuwa ni girlfriend au mchumba ningekushauri TAFAKARI, CHUKUA HATUA. Lakini kwa kuwa ni mke sithubutu kukwambia hivyo nachoweza kusema ni angalia hapo kwenye red ya King'ast naamini amemaliza kila kitu ambacho ningeweza kusema kwa maneno machache!
Wanajamii habari za jioni. Mke wangu ikifika jioni mpaka usiku anakuwa busy sana na sim hata mda wa kuongea na mimi hana, wakati mwingine tukiwa sebureni hujifanyifa anaumwa na kwenda chumbani, ukienda gafla unakuta vidole vinacheza kwenye sim. Mimi kiukweli sio kwamba wivu umekuwa juu, lakini je ni sahihi kwenye ndoa? Na wala sio mfanyabiashara. Naombeni ushauri nisije nikawa mimi nakosea.
Wanajamii habari za jioni. Mke wangu ikifika jioni mpaka usiku anakuwa busy sana na sim hata mda wa kuongea na mimi hana, wakati mwingine tukiwa sebureni hujifanyifa anaumwa na kwenda chumbani, ukienda gafla unakuta vidole vinacheza kwenye sim. Mimi kiukweli sio kwamba wivu umekuwa juu, lakini je ni sahihi kwenye ndoa? Na wala sio mfanyabiashara. Naombeni ushauri nisije nikawa mimi nakosea.
Wanajamii habari za jioni. Mke wangu ikifika jioni mpaka usiku anakuwa busy sana na sim hata mda wa kuongea na mimi hana, wakati mwingine tukiwa sebureni hujifanyifa anaumwa na kwenda chumbani, ukienda gafla unakuta vidole vinacheza kwenye sim. Mimi kiukweli sio kwamba wivu umekuwa juu, lakini je ni sahihi kwenye ndoa? Na wala sio mfanyabiashara. Naombeni ushauri nisije nikawa mimi nakosea.
Chukua yanawezekana, mengine yaache hapa kwa ajili ya kumbukumbu zetu za baadae. All the best, jitahidi kumuweka karibu. Toka naye weekend, try new staffs kama kwenda sehemu siku mbili tatu huku ukiangalia muelekeo.Du! Hapa jf kweli unaweza ua ndoa, kuna ushauri mwingine sio mzuri. Nimekueleweni wajameni, ila kusema kuwa kuna watu wanangata kweli yawezekana but it pains.