Anapatikana wapi mkuu?Kuna mdada naiywa masipety anatibu haya maradhi bila operation..mtafute
DSM anatibu...Mambo ya UZAZI
AsanteDSM anatibu...Mambo ya UZAZI
.Ana matokeo chanya... 0629 815 280
Mtafute huenda akawasaidia
Wataalam habari za asubuhi?
Naomba msaada wa elimu katika hili.
Baada ya kuishi na mke kwa muda kwa mwaka mmoja na miezi saba bila kupata hata dalili yoyote ya mimba, nikaamua kwenda hospital moja yenye huduma bora na za uhakika ili kupata majibu ya uhakika juu ya tatizo linalosumbua.
Vipimo vyangu vilionesha hakuna shida yoyote, lakini kwa upande wa wife tukaambiwa ana Rt. Ovarian Complex Cyst, Hemorrhagic Cyst (55.4×49.2mm).
Tukaambiwa tiba yake ni oparesheni kubwa kuondoa uvimbe huo. Tulibaha hadi kushindwa kuuliza maswali ya msingi tukaaga kwamba tukajipange kwanza tutarudi kwa operation hiyo.
Hapa nilipo kichwa hakipo sawa kabisa.
Je, operation ya namna hiyo huwa kizazi kinabaki au kinaondoshwa kabisa?
Hata kizazi kikibaki kwa hali hiyo anaweza kupata mimba/kuzaa?
Tatizo hilo haliwezi kujirudia tena?
Side effects za operation ya namna hiyo ni zipi?
Hakuna tiba mbadala?
Naombeni elimu mujarabu.
Sent using Jamii Forums mobile app
mm niliwahi kuwa na ttz km ilo but njia pekee ni operation maana huwa unakuwa kuwa mkubwa pia complicatin zitakuwepo km kuover bleeding na kupungikiwa damu ... kwa upande wa operation wanatoa uvimbe ambao upo kwny mayai so kizazi kitakuwa safe ....Wataalam habari za asubuhi?
Naomba msaada wa elimu katika hili.
Baada ya kuishi na mke kwa muda kwa mwaka mmoja na miezi saba bila kupata hata dalili yoyote ya mimba, nikaamua kwenda hospital moja yenye huduma bora na za uhakika ili kupata majibu ya uhakika juu ya tatizo linalosumbua.
Vipimo vyangu vilionesha hakuna shida yoyote, lakini kwa upande wa wife tukaambiwa ana Rt. Ovarian Complex Cyst, Hemorrhagic Cyst (55.4×49.2mm).
Tukaambiwa tiba yake ni oparesheni kubwa kuondoa uvimbe huo. Tulibaha hadi kushindwa kuuliza maswali ya msingi tukaaga kwamba tukajipange kwanza tutarudi kwa operation hiyo.
Hapa nilipo kichwa hakipo sawa kabisa.
Je, operation ya namna hiyo huwa kizazi kinabaki au kinaondoshwa kabisa?
Hata kizazi kikibaki kwa hali hiyo anaweza kupata mimba/kuzaa?
Tatizo hilo haliwezi kujirudia tena?
Side effects za operation ya namna hiyo ni zipi?
Hakuna tiba mbadala?
Naombeni elimu mujarabu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Umefanyiwa operation ktk hospitali gani mkuu?mm niliwahi kuwa na ttz km ilo but njia pekee ni operation maana huwa unakuwa kuwa mkubwa pia complicatin zitakuwepo km kuover bleeding na kupungikiwa damu ... kwa upande wa operation wanatoa uvimbe ambao upo kwny mayai so kizazi kitakuwa safe ....
Umefanyiwa operation ktk hospitali gani mkuU
Ubarikiwe sana mkuu.mm niliwahi kuwa na ttz km ilo but njia pekee ni operation maana huwa unakuwa kuwa mkubwa pia complicatin zitakuwepo km kuover bleeding na kupungikiwa damu ... kwa upande wa operation wanatoa uvimbe ambao upo kwny mayai so kizazi kitakuwa safe ....
Asante kwa ushauri mkuu.Kwa ukubwa huo bora mkubali
Kufanyiwa upasuaji utolewe.
Na atazaa vizuri baada ya matibabu mradi kupata daktari sahihi na makini.
Mungu ni mwema atawafanyia wepesi na salama.
Njoo pm nikueleze vzr mkuuUbarikiwe sana mkuu.
Vipi je uzazi baada ya operation unawezekana?
kaka haukuhitaji kutumia dawa za kisunna kutibu tatizo la mkeo? nilikusihi usikimbilie upasuaji, fikiria mara mbiliAsante kwa ushauri mkuu.
Ndo najiandaa kwa zoezi hilo.
Wataalam habari za asubuhi?
Naomba msaada wa elimu katika hili.
Baada ya kuishi na mke kwa muda kwa mwaka mmoja na miezi saba bila kupata hata dalili yoyote ya mimba, nikaamua kwenda hospital moja yenye huduma bora na za uhakika ili kupata majibu ya uhakika juu ya tatizo linalosumbua.
Vipimo vyangu vilionesha hakuna shida yoyote, lakini kwa upande wa wife tukaambiwa ana Rt. Ovarian Complex Cyst, Hemorrhagic Cyst (55.4×49.2mm).
Tukaambiwa tiba yake ni oparesheni kubwa kuondoa uvimbe huo. Tulibaha hadi kushindwa kuuliza maswali ya msingi tukaaga kwamba tukajipange kwanza tutarudi kwa operation hiyo.
Hapa nilipo kichwa hakipo sawa kabisa.
Je, operation ya namna hiyo huwa kizazi kinabaki au kinaondoshwa kabisa?
Hata kizazi kikibaki kwa hali hiyo anaweza kupata mimba/kuzaa?
Tatizo hilo haliwezi kujirudia tena?
Side effects za operation ya namna hiyo ni zipi?
Hakuna tiba mbadala?
Naombeni elimu mujarabu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hospitali nzuri za haya mambo ya uzazi ni Kairuki Hospital, Jitahd sana uende mapema otherwise kadri unavyochelewa ndo tatizo linazid kuwa kubwa na pengine kupelekea kutopata mtoto kabisa.Jitahd uwezavyo ufanye mapema sanaWataalam habari za asubuhi?
Naomba msaada wa elimu katika hili.
Baada ya kuishi na mke kwa muda kwa mwaka mmoja na miezi saba bila kupata hata dalili yoyote ya mimba, nikaamua kwenda hospital moja yenye huduma bora na za uhakika ili kupata majibu ya uhakika juu ya tatizo linalosumbua.
Vipimo vyangu vilionesha hakuna shida yoyote, lakini kwa upande wa wife tukaambiwa ana Rt. Ovarian Complex Cyst, Hemorrhagic Cyst (55.4×49.2mm).
Tukaambiwa tiba yake ni oparesheni kubwa kuondoa uvimbe huo. Tulibaha hadi kushindwa kuuliza maswali ya msingi tukaaga kwamba tukajipange kwanza tutarudi kwa operation hiyo.
Hapa nilipo kichwa hakipo sawa kabisa.
Je, operation ya namna hiyo huwa kizazi kinabaki au kinaondoshwa kabisa?
Hata kizazi kikibaki kwa hali hiyo anaweza kupata mimba/kuzaa?
Tatizo hilo haliwezi kujirudia tena?
Side effects za operation ya namna hiyo ni zipi?
Hakuna tiba mbadala?
Naombeni elimu mujarabu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu nenda hospitali acha hz mambo za mitishamba,nakwambia hv kwa sababu kuna dada namjua alishauriwa aende kwa ajili ya kuondoa uvimbe akahamia kwenye mitishamba,kurudi hospitali wakamwambia chance ya kumsaidia tena haipo sababu mirija ilishaziba completely-Ni huzuni asikwambie mtu.Ikibd fika kairuki tafuta ma super specialist pale