TANMO
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 11,513
- 11,276
Kuna mwamba mmoja, yeye alizaa na wadada wanne, mmoja Mwezi wa Saba, wawili watoto wamezaliwa siku moja mwezi wa nane.Nina mwanangu nimegraduate nae,yaani tuna maliza chuo mtaani katia mimba tatu na wote walijifungua salama.
Wa mwisho akazaliwa mwezi wa Kumi.