Alipata ujauzito wa kwanza bila kufahamu kuwa yeye negative group akafanyiwa operation na mtoto ikawa bahati mbaya, baada ya hapo tatzo likafahamika ikatakiwa achomwe sindano eti inaitwa AntD ndani ya saa 72 kutokana na mazingira na maelezo hafifu ilishindikana.
Akapata tena mimba ya pili kwa vile hatukupata maelezo ya kidaktari ya kutosha wakati wa kujifungua alipata tena matatzo ya kujifungua na pia akakosa sasa hapo ndo tukapata maelezo ya kutosha kwamba bila kuchomwa hiyo sindano AntD ujauzito ujao itakuwa tena ni kazi bure.
Ilikuwa ni hostal kubwa sana inayoheshika hapa tz lakini uzembe uliofanyika hapo hospital kwa kutopatiwa tena ile AntD ndan ya masaa 72 mpaka leo kila nkukumbuka natokwa na machoz. Sasa naomba mtaalamu yeyote anayefahamu njia mbadala baada ya kukosa ile AntD ili mke wangu apate ujauzito na ajifungue salama na mtoto awe salama anashauli cha kufanya.
ASANTENI.
Akapata tena mimba ya pili kwa vile hatukupata maelezo ya kidaktari ya kutosha wakati wa kujifungua alipata tena matatzo ya kujifungua na pia akakosa sasa hapo ndo tukapata maelezo ya kutosha kwamba bila kuchomwa hiyo sindano AntD ujauzito ujao itakuwa tena ni kazi bure.
Ilikuwa ni hostal kubwa sana inayoheshika hapa tz lakini uzembe uliofanyika hapo hospital kwa kutopatiwa tena ile AntD ndan ya masaa 72 mpaka leo kila nkukumbuka natokwa na machoz. Sasa naomba mtaalamu yeyote anayefahamu njia mbadala baada ya kukosa ile AntD ili mke wangu apate ujauzito na ajifungue salama na mtoto awe salama anashauli cha kufanya.
ASANTENI.