Mke wangu amenyoa nywele na zilikuwa zinanivutia sana

Habari wakuu, mimi sio mgeni jamiiforums mara nyingi hapenda tu kuangalia nyuzi za watu na kuchangia inapobidi.Leo nimeona niwashirikishe yaliyonisibu

Nipo kwenye ndoa zaidi ya mwaka sasa na kati ya vitu vilivyonivutia na vinavyonivutia sana kwa mke wangu kwakweli ni nywele zake zilivyo ndefu na natural na yeye pia analifahamu hili manake nimekua nikimuambia mara kwa mara.

Cha ajabu Jana wife kafika nyumban amenyoa nywele zote na wala hakunifahamisha kama atanyoa na wala sikuona dalili zozote kama hili litatokea.

Kwa kweli imeniuma sana na mpaka sasa bado inauma nahisi kama amenidharau kwa kutokunishirikisha kwenye jambo la muhimu kama hilo.

Sura imebadilika ata kutoka nae out nadhani itakua changamoto nilimuuliza sababu za kunyoa anasema kua amezichoka nywele ndefu na wala hazitaki tena.

Nimemuambia ninavyohisi anadai kama nlipenda nywele na sio yeye basi ananipa pole. ninaanza kupata wasiwasi kua anaanza kubadilika manake naanza kuona kama dharau zinakuja kwa mbali.

Wakuu embu nitoeni wasiwasi, ni mimi nawaza vibaya ama ndo tayari mwanamke anataka kunipanda kichwani?
Siku ukibadilisha overall na kuvaa suruali size yako hatazinyoa nywele.Unataka uzione nywele wakati hauzitunzi? Kwa sasa nunua super glue nenda saluni okota nywele akilala zibandike.Utakuja kunishukuru
 
🤣🤣🤣🤣🤣
949E2242-E382-49D5-B04D-DA44177487B8.jpeg


Subiri kwanza ukue mkubwa ndio utafaidi. Kwasasa uache uchochezi
 
Inawezekana kukata hizo nywele sio ishu kubwa ila hayo majibu yake baada ya kumuuliza kwanini amekata ndo yana ukinzani mkubwa!
Kuwa makini,kuna kitu hakiko sawa somewhere!
 
Mwambie mabaharia hatupendagi vyoote, in Mama Mgwira's voice na alitambue hilo
 
Habari wakuu, mimi sio mgeni jamiiforums mara nyingi hapenda tu kuangalia nyuzi za watu na kuchangia inapobidi.Leo nimeona niwashirikishe yaliyonisibu

Nipo kwenye ndoa zaidi ya mwaka sasa na kati ya vitu vilivyonivutia na vinavyonivutia sana kwa mke wangu kwakweli ni nywele zake zilivyo ndefu na natural na yeye pia analifahamu hili manake nimekua nikimuambia mara kwa mara.

Cha ajabu Jana wife kafika nyumban amenyoa nywele zote na wala hakunifahamisha kama atanyoa na wala sikuona dalili zozote kama hili litatokea.

Kwa kweli imeniuma sana na mpaka sasa bado inauma nahisi kama amenidharau kwa kutokunishirikisha kwenye jambo la muhimu kama hilo.

Sura imebadilika ata kutoka nae out nadhani itakua changamoto nilimuuliza sababu za kunyoa anasema kua amezichoka nywele ndefu na wala hazitaki tena.

Nimemuambia ninavyohisi anadai kama nlipenda nywele na sio yeye basi ananipa pole. ninaanza kupata wasiwasi kua anaanza kubadilika manake naanza kuona kama dharau zinakuja kwa mbali.

Wakuu embu nitoeni wasiwasi, ni mimi nawaza vibaya ama ndo tayari mwanamke anataka kunipanda kichwani?
.hivi unajua kwa nini siku ya harusi bwana harusi anakuwa amenuna na bibi harusi kafurahi?? haya umeshapata jibu
 
Pole mkuu, ni kweli amekosea kutokukushirikisha

Lakini upande mwingine jitahidi kumuelewa na yeye mkuu, nywele ndefu hua zinachocha kuna muda tunahitaji kupumzisha kichwa

Na hapo unakuta style karibu zote tumemaliza hatuoni jipya tena, mwisho unaona bora uzikate upumzike then unarudi tena kufuga

Hivo mkuu kwakua nywele zinaota basi mpe muda apumzike then utamshawishi asuke tena
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom