Baba, pole na matatizo!
Nashindwa kuamini, ina maana huyo mchaga wa kimara baruti anaitumia na kuisasambua kiasi cha kuchoka ndani ya mwezi mmoja tu?! Ina maana wewe ulikuwaga unabofya tu?
Natamani ungeangalia nafasi yako kwenye kusimamia nyumba yako.
1 humuulizi mkeo hela yake anapeleka wapi. Je, ulishawahi kuwaza anatumia kiasi gani cha kipato chake kidogo cha ualimu kwa nauli na chakula mchana? Je anachoka kiasi gani kutoka umbali mnaoishi na kibaha? Ulishajaribu walau kumsaidia ahamie karibu ama kupangisha nyumba yenu na nyie kuhamia kibaha ama kibamba ili asiwe mbali sana na kazini?
2 pamoja na mkeo kuwa mnunaji, ulishawahi kuvunja ukimya hata kwa hisani yako? Unasema hujapewa unyumba muda mrefu; ulishawahi kujadili na mkeo na kumjulia khali kama yeye anapata wapi unyumba kama nyumbani haupatikani?
3 Funga kazi ni mkeo kukuambia anataka kuhamia karibu na kazini, chumba na kitanda na godoro tayari na wewe kuona ahueni! Na unaacha mkeo na mwanao kuhamia tena kwa basi mahali usipopajua! Kwa hela usizozijua?!
Pole kwa kukupa dawa chungu! Ukijitathmini ulipokosea utajua jinsi ya kushona na kuweka viraka koti lako.
Ndugu zangu wana JF,
Mke wangu ni mwalimu wa sec, ana mtoto mdogo wa miezi 6, toka ajifungue vituko vilikuwa haviishi....kuninunia daily sometimes hadi 3 weeks or mwezi. Nilipoona mambo yanazidi nilimrudisha kwao kwa muda kama wa mwezi mmoja hivi kwa sababu alikuwa ana maternity leave. Hata hivyo nilijua huenda postnatal period ndio inamfanya awe vile hivyo kwangu nikaona ni busara kuwa mpole ili kuepusha shari.
Aliporudi kutoka kwao tuliishi kwa maelewano mazuri kwa muda wa wiki moja tu, then yakarudi yale yale...ful mnuno kwangu lakini stori nyingi tu kwa mashost zake na majirani.
Mke wangu anafundisha kibaha, na tulikuwa tunaishi sote Dar sababu ndiko nilikojenga kibanda chetu cha kuishi na pia mimi ndiko ninakofanyia kazi. Mwezi uliopita nilishangaa mke wangu kuniambia kuwa yeye anataka kuhamia kibaha ili awe karibu na kituo cha kazi, pili ili aweze kupunguza gharama za usafiri za kila siku. Ikumbukwe kuwa ameanza kazi toka February 2011 na mimi siulizii mshahara wake anafanyia nini yeye ndiye ajuaye....but baada ya hoja yake hiyo nikajiuliza apunguze gharama za nauli....? je hela anafanyia nini? sikutaka ugomvi nikamruhusu lakini nikamuuliza vipi kuhusu maandalizi akasema kila kitu kipo sawa...chumba, kitanda+godoro na mahitaji mengine yote.
Ameondoka tarehe 04 June kuhamia kibaha, nikamwambia nitampeleka na gari hadi kibaha alikataa kata kata na kusema nimuache tu ubungo atapanda bus. Pia aka-haidi weekend atarudi lakini hakurudi na bila kutoa sababu. Ijumaa ya juzi amerudi home but still hakuwa mchangamfu, pia kuonekana kama ana chuki nami.
Kwa kuwa ni muda mrefu sijapata unyumba na yeye ndio mke wangu usiku wa kuamkia leo nikaomba haki yangu,.....WANA JF HAMUWEZI KUAMINI LAKINI NAWAAMBIA UKWELI....Nimekuta ikulu ya mke wangu imetumika kiasi cha kutosha saana hadi kiasi kwamba nilipatwa na mshangao wa ajabu....hiyo ilikuwa round ya kwanza, nilipojaribu ya pili...nilishindwa kumaliza game...coz sio K bali ni hatari. NILIUMIA SANA.
Toka saa 8.30 usiku sijalala hadi saa 10.30 usiku/alfajiri, niliamua kumuuliza tena kwa upole huku nimemkumbatia....kuwa huko kibaha ana wanaume ana-do nao!Alikataa kata kata....but alipoona naongea kwa upole sana akaingia kingi na kusena ndio anakiri ...lakini ni mwanaume mmoja tu ndio anatembea nae lakini sio wengi. Nikahoji ni nani huyo? nikaambiwa ni mfanyabiashara, anakaa kimara baruti, mmeanza toka lini mahusiano yenu....akasema toka...mwezi uliopita, mlifahamiana wapi.....tulifahamiana kwenye bus wakati naenda kazini.
Baada ya hapo akaanza kuliaaa.....na kusema anaomba nimsamehe!Nikamuuliza uliomba ruhusa ya kuhamia kibaha ili uwe huru? Je umekosa nini kwangu au mimi nilikuwa sikutoshelezi? akajibu hapana!
......WANA JF am so sorry kwa maelezo marefu but nimechanganyikiwa na simuelewi mke wangu. Anataka nimsamehe, but kabla sijachukua maamuzi nimeona ni vema niwashirikishe nyie ndugu zangu ili niweze kujiridhisha kwa uamuzi nitakao uchukua baada ya kupata maoni yenu.
NARUDIA TENA.....SAMAHANI KAMA MTAKWAZIKA KWA KUSOMA MAELEZO MAREFU...!
Ni mimi NGOSWE.120
Pole sana Mkuu!!!
Nikamuuliza uliomba ruhusa
ya kuhamia kibaha ili uwe
huru? Je umekosa nini kwangu au mimi nilikuwa
sikutoshelezi? akajibu
hapana!
Hebu Mpe SECOND CHANCE lakini hii nafasi ni kwa ajili ya kumchunguza pekee na kwenda kupima... Maana kama ni kweli anataka msamaha hata Rudia ila kama Ataendelea tafuta Usitarabu mwingine kabla hayajawa makubwa na Kukuletea UKIMWI/STD's nyumbani
Tatizo wanawake wa siku hizi anacho tafuta yeye yaani kipato kinakuwa chake ila anacho tafuta mwanaume kinakuwa chawoteBaba, pole na matatizo! Nashindwa kuamini, ina maana huyo mchaga wa kimara baruti anaitumia na kuisasambua kiasi cha kuchoka ndani ya mwezi mmoja tu?! Ina maana wewe ulikuwaga unabofya tu? Natamani ungeangalia nafasi yako kwenye kusimamia nyumba yako. 1 humuulizi mkeo hela yake anapeleka wapi. Je, ulishawahi kuwaza anatumia kiasi gani cha kipato chake kidogo cha ualimu kwa nauli na chakula mchana? Je anachoka kiasi gani kutoka umbali mnaoishi na kibaha? Ulishajaribu walau kumsaidia ahamie karibu ama kupangisha nyumba yenu na nyie kuhamia kibaha ama kibamba ili asiwe mbali sana na kazini? 2 pamoja na mkeo kuwa mnunaji, ulishawahi kuvunja ukimya hata kwa hisani yako? Unasema hujapewa unyumba muda mrefu; ulishawahi kujadili na mkeo na kumjulia khali kama yeye anapata wapi unyumba kama nyumbani haupatikani? 3 Funga kazi ni mkeo kukuambia anataka kuhamia karibu na kazini, chumba na kitanda na godoro tayari na wewe kuona ahueni! Na unaacha mkeo na mwanao kuhamia tena kwa basi mahali usipopajua! Kwa hela usizozijua?! Pole kwa kukupa dawa chungu! Ukijitathmini ulipokosea utajua jinsi ya kushona na kuweka viraka koti lako.
Thread kama hii bila kusoma michango ya MwanajamiiOne Kongosho King'asti Mbu, TIMING na gfsonwin huwa nakosa cha kuchangia kabisa.
Inawezekana ikawa mke wangu ananicheat lakini sijui.... better that way.
Inawezekana nikahisi kuwa ananicheat tokana na mabadiliko ya tabia, siyo mbaya sana.
LAKINI: Anakiri kwa kinywa chake kuwa ANANICHEAT maana yake ni kuwa anataka nifanye maamuzi magumu ya kuachana naye. Na kwangu mie thats the best option. KWANI NINI BANA.
Kishakiri kwa KINYWA chake kuwa kuna jamaa linamvua chupi kwa hiari yake...!!! Oh God!! Afu nimsamehe turudiane?? Yaweza tokea lakini things will never be the same. So What? Oh My Lord Please Help Me.
Mwisho wa Comment.